Natafuta kazi ya receptionist

Natafuta kazi ya receptionist

Joined
Jul 6, 2017
Posts
8
Reaction score
2
Habari zenu natafuta kazi ya receptionist katika hotel au kampuni yoyote na uzoefu wa mda mrefu katika hiyo nafasi kwa yoyote atayesikia animbie
 
Kuja home kila jumapili, unafua na kusafisha chumba... Sh ngapi utafanya iyo kazi...kama autojali

Sent from my TECNO-C9 using JamiiForums mobile app
 
Kuja home kila jumapili, unafua na kusafisha chumba... Sh ngapi utafanya iyo kazi...kama autojali

Sent from my TECNO-C9 using JamiiForums mobile app
Hii kazi mbongo hawezi labda huku majuu trust me ..!
 
Hizo ndio kazi za receptionist? TECNO C9 utamlipa nini mtoto wa watu?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ko tecno ni shughuli kulipa mishahara mkuu

Sent from my IPhone 7 using using JamiiForums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom