Natafuta kazi ya Nursing,,(Nurse Assistant)

Natafuta kazi ya Nursing,,(Nurse Assistant)

49794c02df9f71f0b32e9a4cbef7f4a6.jpg
Mmm basi dada umepata.

Apple huwa inaadvertize sime zake kwa nyuma.
Nimependa ulivyoiga strategy ya iphone.
 
Sitaondoa kwa sababu lengo langu ni kazi sio kitu kingine,,,
Lengo lako ni Kazi ndiyo ila ku-expose namba yako publically siyo jambo la Msingi sana.

Nadhani ungemuomba umfuate Inbox ingekuwa jambo la msingi mno kuliko kutuwekea namba hapo juu.

Siyo kila mtu humu ni Mwema,Mwingine anaweza kuichukua kwa matumizi mengine na siyo kama unavyofikiri.

All The Best,Mrejesho ni Muhimu ili kuzidi kuifanya JF kuwa Sehemu sahihi.
 
Mwenye kuweza kumsaidi Esther amsaidie acheni kumsanifu dada wa watu, tatizo watu tunaweka utani na kejeli hata kwenye mambo ambayo ni serious! au ndie tuseme ashibaye hamjui mwenye njaa
 
Natafuta kazi ya muuguzi msaidizi nimehitimu mafunzo 2016/2/ naomba kwa yeyote atakaekua na uhitaji wa nurse assistant anisaidie
Mbona unachanganya, ww ni nurse assisstant au Assistant nursing officer weka vizuri au hujui ulichosomea
 
Mwenye kuweza kumsaidi Esther amsaidie acheni kumsanifu dada wa watu, tatizo watu tunaweka utani na kejeli hata kwenye mambo ambayo ni serious! au ndie tuseme ashibaye hamjui mwenye njaa
Msaidie wewe sasa hv lzm kuwa makini,Mello amegoma kuwapa ID sasa mtazipeleka wenyewe.....!
 
Back
Top Bottom