shwaibually
Member
- Jan 7, 2017
- 8
- 4
Natafuta mchumba awe mweupe awe mvumilivu wa maisha awe na umr kat ya 18_23 kama kuna aliekuwa tayar anitafute 0717971221au 0686903167
Hata me nahisi,wameshindwa kupata ID kwa Mello sasa wanaweza kuzitafuta kwa style nyingine,ngoja tusubiri tuu tutasikia police wakamata kadhaa JF wako jela hakuna dhamana....!me yangu macho na masikio.
Ohooo!Msaidie wewe sasa hv lzm kuwa makini,Mello amegoma kuwapa ID sasa mtazipeleka wenyewe.....!
Sasa hv hakuna kuaminiana hata mke wako usimwambie ID yako ya JF.....!Ohooo!
Una cheti cha ADDO?Natafuta kazi ya muuguzi msaidizi nimehitimu mafunzo 2016/2/ naomba kwa yeyote atakaekua na uhitaji wa nurse assistant anisaidie
[emoji13] night nurse: gregory isaacNight nurse. Roman virgo
nawewe umepata kule ulikoomba?Ulipata?
Usiwe na mawazo mabaya tu! Je ungekuwa ndgu yako?Madanga hutumia njia nyingi sana kugawa namba zao
Usiogope !! Maana mungu hufanya njia pasipo na njia! Jiadhari na matapeli! Usikubali kutoa pesa wala penzi! Kuwa na msimamo! Na kumtanguliza MUNGUMimi ni Dada ndio
Masai ni watu wema sana,ubarikiwe mkuu.Mmh? Nilijua kuwa wana jf ni watu wenye huruma na mawazo ya kimaisha! Kweli mtu a naomba mmtafutie kazi ! Badala kusikitika ? Mnamdharau! Na kuuanza kumtaka kimapenzi!? Kweli? Pole saana Dada Esther! MUNGU atakufungulia njia pasipo na njia! (Kazi utapata) amini Ivo!
Kwa sasa ivi kazi ni ngumu saana! Watu wengi wamemaliza vyuo! Hakuna kazi !! Daah! Nawaonea huruma saana! Na mzazi kamaliza kujusomesha kazi kwako kutafuta kazi! Na hujui pa kuanzia! Inauma saana!Masai ni watu wema sana,ubarikiwe mkuu.
Mission accomplished [emoji23] [emoji23] [emoji23]Haaaa Haaaa Haaaa
Mkuu Wazee wa Doria wanasema deal done[emoji23][emoji23][emoji23]
Wapi ametongozwa acha izo.Mmh? Nilijua kuwa wana jf ni watu wenye huruma na mawazo ya kimaisha! Kweli mtu a naomba mmtafutie kazi ! Badala kusikitika ? Mnamdharau! Na kuuanza kumtaka kimapenzi!? Kweli? Pole saana Dada Esther! MUNGU atakufungulia njia pasipo na njia! (Kazi utapata) amini Ivo!
Inaonekana wewe ni bigwa wa kutoa penzi ukiwa unatafuta kazi eee mbona mawazo yako yanawaza kugengedana na tu.Usiogope !! Maana mungu hufanya njia pasipo na njia! Jiadhari na matapeli! Usikubali kutoa pesa wala penzi! Kuwa na msimamo! Na kumtanguliza MUNGU
Dumeshupa la Dar, saa zote unarudisha makalio nyumaHata me nahisi,wameshindwa kupata ID kwa Mello sasa wanaweza kuzitafuta kwa style nyingine,ngoja tusubiri tuu tutasikia police wakamata kadhaa JF wako jela hakuna dhamana....!me yangu macho na masikio.
MaviMsaidie wewe sasa hv lzm kuwa makini,Mello amegoma kuwapa ID sasa mtazipeleka wenyewe.....!
Empty headed, zeroSasa hv hakuna kuaminiana hata mke wako usimwambie ID yako ya JF.....!