MALCOM LUMUMBA
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 20,897
- 63,784
Umemwelezea vizuri mno! Kipindi fulani niliwahi kuishi maeneo ya ILALA BOMA, Nilikua na mmama anayenifulia nikizidiwa na kazi nyingi kwakweli yule mama alikua anashida haswaa na alikua anaishi kule bondeni jangwani, nikaona nitafute namna ya kumsaidia nilimpa elfu 30, nikamwambia kanunue vitu alfajiri soko la wakulima ilala boma then uuze kwa watu mitaani tembeza kwenye beseni ile asubuhi kabla jua alijawa kali.Basi akafanya hivyo mama wa watu hivi navyokwambia amepanua biashara yake anauza kwenye meza na pia anatembeza asubuhi kwa wateja wake maalum.Last time niliwasiliana naye akanambia amehamia vingunguti ameweza kulipa hata kodi ya nyumba iliyokua shida kwake! aisee niishie hapa kupanga ni kuchagua waache watu wachague kazi.
Na mimi nije kukufulia na kukupikia unipe hela ya mtaji basi!
Nifikirie aisee, mtaani tunateseka mtumishi!