unawaza ngono tu kumbeUkija kwangu utalala?
yes.kama yupo pia tutaelewanaKulea mtoto inclusive???
nina nguo zangu za kufua...kuna buku tano hapa inaniwasha,vipi upo tayari nikupe ramani ya kufika gheto kwangu uje unifulie?unawaza ngono tu kumbe
nafanya kaz kuanzia asubuhi.jioni naondoka
maeneo gani?Nje ya dar niaje?
hahaa..gheto kwako maeneo gani?nina nguo zangu za kufua...kuna buku tano hapa inaniwasha,vipi upo tayari nikupe ramani ya kufika gheto kwangu uje unifulie?
ubungohahaa..gheto kwako maeneo gani?
Kwa hiyo unatafuta kazi afu wewe ndio unaweka masharti ya kutafutwa JF?kweli?siwez weka hapa
kwa hiyo utakuja nikuandalie sabuni au umepata tenda kwingine?hahaa..gheto kwako maeneo gani?
Nakuona nakuonakwa hiyo utakuja nikuandalie sabuni au umepata tenda kwingine?
Anakuja asubuhi anaondoka jioni, geto litakua halijatakata tu?Ha ha ha ha hilo shart la kuja na kuondoka ndio gumu labda kama angekuwa analala hapo hapo
Sitak mfanya usafi tu anaweza kuwa kama msimamiz wa gheto ulinz nn maana sometime hii mikaz siku mbili haupo homeAnakuja asubuhi anaondoka jioni, geto litakua halijatakata tu?
Moro vip unakuja?maeneo gani?