Natafuta kazi ya Maabara jamani Lab Assistant

Kuntankite

Member
Sep 17, 2021
8
2
Tangazo hilo kama linavyojieleza wapendwa ninahitaji nafasi ya kazi.

Nina miaka 28Yrs...mkazi wa Kahama Shinyanga...Nina ERP....Uzoefu upo wa kutosha tu kama miaka 5 tokea nimalize chuo 2016..Nina mke na mtoto mmoja ...0765 626 871.

Natanguliza shukrani
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom