Natafuta kazi, nina elimu ya kompyuta

Natafuta kazi, nina elimu ya kompyuta

2msime

Member
Joined
Jul 2, 2016
Posts
41
Reaction score
2
Natafuta kazi yoyote. Mimi niko Morogoro na nina uwezo wa IT lakini niko tayari kufanya kazi yoyote.

Namba ya simu 0769322746.
 
Kila la kheri ukiweza jiajiri kwa mtaji kdg tu wa hata laki2..utafanikiwa tu
 
Pole sana naomba unipigie kwenye namba 0683670160/ 0622670160/ 0762670160/ whatsap 0629114315 nikuelekeze namna ya kujiajiri mwenyewe kwa mtaji wa sh. 2000 tu kuliko kunyanyaswa na kurubuniwa mi nipo kibaigwa jina langu hilo hapo kwenye profile ni mjasiria mali nakushauri epuka kuajiriwa kazi isiyo na mkataba kwani kuna watu wataweza kukurubuni kupitia kazi . eti ohh njoo kuna kazi. Unadhani ukifika mwenyeji wako anakuwa nani? Je, ukikuta hana mke unalala kwa nani? Naye ndo mwenyeji wako? Chukua tahadhari
 
Natafuta kazi yoyote mm niko morogoro ninauwezo wa IT lkn niko tayari kufanya kazi yoyote No ya cm 0769322746
Ukiwa tayari kujitolea kufanya kazi bure kwa mda wa miezi mitatu halafu baada ya hapo utaanza kulipwa ni PM,nina project yangu nataka mtu mwaminifu wa kuisimamia
NB;utapangiwa nyumba ya umeme,utagharamiwa chakula na utakapoumwa maralia na magonjwa mengine ambayo sio makubwa utapata matibabu
 
Pole sana naomba unipigie kwenye namba 0683670160/ 0622670160/ 0762670160/ whatsap 0629114315 nikuelekeze namna ya kujiajiri mwenyewe kwa mtaji wa sh. 2000 tu kuliko kunyanyaswa na kurubuniwa mi nipo kibaigwa jina langu hilo hapo kwenye profile ni mjasiria mali nakushauri epuka kuajiriwa kazi isiyo na mkataba kwani kuna watu wataweza kukurubuni kupitia kazi . eti ohh njoo kuna kazi. Unadhani ukifika mwenyeji wako anakuwa nani? Je, ukikuta hana mke unalala kwa nani? Naye ndo mwenyeji wako? Chukua tahadhari
Hahahaha...nyie jamaa wa fursa za network marketing huwa hamchezi mbali sana
 
Hivi mnadhani huyu mungu ni wa kwenu au? Mbona ham,ogopi hata jasho za watu eti miezi mitatu! Duhh! Hiyo Kali. Ebu njoo wewe nikupe kazi miezi miwili bure. Ndo nyie mnaoajiri watu kisha unamfukuza eti katia shoti kumbe gia ya kudhulumu ujira wake. Ndio maana nilimwonea huruma nimwelekeze ajiajiri mwenyewe
 
  • Thanks
Reactions: waj
Ukiwa tayari kujitolea kufanya kazi bure kwa mda wa miezi mitatu halafu baada ya hapo utaanza kulipwa ni PM,nina project yangu nataka mtu mwaminifu wa kuisimamia
NB;utapangiwa nyumba ya umeme,utagharamiwa chakula na utakapoumwa maralia na magonjwa mengine ambayo sio makubwa utapata matibabu
We tapeli
Hivi mnadhani huyu mungu ni wa kwenu au? Mbona ham,ogopi hata jasho za watu eti miezi mitatu! Duhh! Hiyo Kali. Ebu njoo wewe nikupe kazi miezi miwili bure. Ndo nyie mnaoajiri watu kisha unamfukuza eti katia shoti kumbe gia ya kudhulumu ujira wake. Ndio maana nilimwonea huruma nimwelekeze ajiajiri mwenyewe
 
Ukiwa tayari kujitolea kufanya kazi bure kwa mda wa miezi mitatu halafu baada ya hapo utaanza kulipwa ni PM,nina project yangu nataka mtu mwaminifu wa kuisimamia
NB;utapangiwa nyumba ya umeme,utagharamiwa chakula na utakapoumwa maralia na magonjwa mengine ambayo sio makubwa utapata matibabu
Duh...kwa hiyo magonjwa makubwa kama ngoma ajitegemee mwenyewe??!!..
 
Njoo gheto mama unisaidie shughuli ndogo ndogo za usiku....haina kujitolea..
 
Pole sana naomba unipigie kwenye namba 0683670160/ 0622670160/ 0762670160/ whatsap 0629114315 nikuelekeze namna ya kujiajiri mwenyewe kwa mtaji wa sh. 2000 tu kuliko kunyanyaswa na kurubuniwa mi nipo kibaigwa jina langu hilo hapo kwenye profile ni mjasiria mali nakushauri epuka kuajiriwa kazi isiyo na mkataba kwani kuna watu wataweza kukurubuni kupitia kazi . eti ohh njoo kuna kazi. Unadhani ukifika mwenyeji wako anakuwa nani? Je, ukikuta hana mke unalala kwa nani? Naye ndo mwenyeji wako? Chukua tahadhari
Mkuu ach utapeli buku mbili seriously.
 
Jamani ndg mm natafuta kazi yoyote niko morogoro ingawa mm nimtaharamu wa IT lkn naweza kufanya kazi yoyote ili niweze kujiikimu no yangu 0769322746 name 0621081842 niko morogoro
 
Jamani ndg mm natafuta kazi yoyote niko morogoro ingawa mm nimtaharamu wa IT lkn naweza kufanya kazi yoyote ili niweze kujiikimu no yangu 0769322746 name 0621081842 niko morogoro

Ninasikitika Huwezi kupata kazi tena mdogo wangu. Kujua Kuweka na kutoa CD kwenye deki siyo IT na kuingiza nyimbo kwenye memory card siyo IT we waeleze wana jamii Forums kuwa mtalaam wa nini?
 
Jamani ndg mm natafuta kazi yoyote niko morogoro ingawa mm nimtaharamu wa IT lkn naweza kufanya kazi yoyote ili niweze kujiikimu no yangu 0769322746 name 0621081842 niko morogoro
IT ambayo kicharazio tu kimekulendemsha utaijua vip disk mtepevu.[emoji32]
 
Nimemkumbuka aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Moro alipoachwa na JPM Alihuzunisha sana watanzania pale aliposema rais amuhurumie kwani hajui Maisha yake yatakuwa vipi bila cheo alichopoteza?

Tatizo sio kazi, Tatizo ni pesa, kazi zipo mingi ambazo hazina malipo. Kama unaelimu ya form six na kuendelea ni zaidi kuwezeshwa hata kwa mawazo.

Tusiwaze sana kupata kazi! Kutafuta kazi ni fumbo??

Ukweli ni kwamba huwa tunatafuta pesa wala sio kazi! Jiulize ukipata fedha nyingi je utaendelea kufanya iyo kazi ama utaacha??

Ni vizuri ukisema una nini? Ili upewe mawazo ya kutafuta pesa sio kazi kupitia ulivyonavyo ....uwezo wako ndio mtaji wako
 
Jamani ndg mm natafuta kazi yoyote niko morogoro ingawa mm nimtaharamu wa IT lkn naweza kufanya kazi yoyote ili niweze kujiikimu no yangu 0769322746 name 0621081842 niko morogoro
Wawezatengeneza database tufanyekazi?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom