VMWare-Oracle
JF-Expert Member
- Dec 19, 2021
- 663
- 910
Habari zenu wana JF,
Mimi ni kijana,nimemaliza kidato cha nne mwaka 2021. Elimu yangu ni ya kidato cha nne na matokeo yametoka nimepata div.1.7; A-tisa na B-moja ya Bible knowledge pekee.
Nimesoma masomo sayansi shule ya wavulana Marian iliyopo Pwani, Bagamoyo na nimeomba kujiunga chuo cha DIT. Kama tujuavyo diploma program inaanza mwezi wa kumi.
Natafuta kazi ambapo nitapata chochote kitu ili nisikae mtaani muda wote huu. Sina mtaji wowote ule ndio maana nategemea mkono wa mtu kunipa tender.
Umri ni miaka 17 na ninaishi Dar es salaam, Msasani.
Natanguliza shukrani.
Mimi ni kijana,nimemaliza kidato cha nne mwaka 2021. Elimu yangu ni ya kidato cha nne na matokeo yametoka nimepata div.1.7; A-tisa na B-moja ya Bible knowledge pekee.
Nimesoma masomo sayansi shule ya wavulana Marian iliyopo Pwani, Bagamoyo na nimeomba kujiunga chuo cha DIT. Kama tujuavyo diploma program inaanza mwezi wa kumi.
Natafuta kazi ambapo nitapata chochote kitu ili nisikae mtaani muda wote huu. Sina mtaji wowote ule ndio maana nategemea mkono wa mtu kunipa tender.
Umri ni miaka 17 na ninaishi Dar es salaam, Msasani.
Natanguliza shukrani.