mwandu stephen
New Member
- Nov 1, 2011
- 3
- 0
wana jf natafuta kazi nina Diploma ya Nursing umri wangu 29 years cotact: yangu ni 0717 033 993 au 0767 033 993 .email mwandustephen@ymail.com
serika itangaza Nafasi 9000 WIZARA YA AFYA SOON KWA HIYO FATILIA VYOMBO VYA HABARI
mkuu MOH walishatangaza nafasi nyingi tu tangu tar 18 october hebu cheki website hizo ulizopewa hapo na wadauserika itangaza Nafasi 9000 WIZARA YA AFYA SOON KWA HIYO FATILIA VYOMBO VYA HABARI
ubarikiwenenda aghakhan nimetoka kumpeleka mtu majuzi anafanya kazi ya kujitolea ikitokea kuna nafasi unawaascha kwa amani huku ukiongeza exp
usisubiri upate kazi wakati hiyo kazi ni nzuri na unaitaji kuwa na experience Mungu aweza yote akusaidie upate kazi nzuri na yenye kukupa amani na kutunza familia ...suiombe kazi ilimradi kazi..kingine jitahdi kwenye maombi mwambie MUNGU akupe kibali cha kazi kuna watu awana hata matokeo mazuri leo wakokwenye malandcruiser sababu ya favour./kibali ni muhimu sana kwenye maisha ya kila mtu na hata wewe ulie na kazi jitahdi uombe MUNGU AKUPE kibali unaweza kupata kazi nzuri lakini usipojua akuitunza utaishia kusemwa alipita hapa mtu huyu.....Mungu akupe kazi nzuri ..nasema hivi kuna watu wanasali wapate kazi wanakutwa na nafasi nzuri mabosi wanaomba mapenzi..sasa unakuta hapo wazaifu wanazini wakiamaini kutubu baada ya kazi matokeo yake unaambiwa bosi anaumwa wakati ukiwa kazini..so ukiomba kazi omba kazi ambayo Mungu atakusimamia kwenye majaribu na usikubali kuwa mtumwa dhambi kwa ajili ya ajira
Ubarikiwe