Code Breaker
JF-Expert Member
- Mar 2, 2014
- 1,019
- 446
Nenda Chemi&Cotex (----) waliweka tangazo pale Udsm kwa watu wa Chemistry, Chem Eng, uangalie details zao ujaribu kutupia CV yako.... U never know wakakuita... BTW hutakuwa umepoteza chochote.
solution ni kubet tu.
na wale tunaosoma bsc. mathematics ivi tunawez fanya kaz gan na wap,
Duh! Makoz mengne bhana!
Kuendkeza mikopo ya elimu ya juu matokeo yake ndo hayo.
Anyway soma "Postgraduate ya Education" uingie Ualimu then ufundshe hyo chemistry
(note; km unataka kuajrwa kwa urahc ndan ya gvt)
Acha dharau ww,kwani ungetoa ushauri tu, ungepungukiwa nn