Coolant
JF-Expert Member
- Apr 19, 2015
- 1,259
- 2,209
Anza wewe kujifunza kuandika ndo uje uniambie mm. Huna hata aibu jifunze kukaa kimya sio kila post ikiandikwa humu JF lazima na wewe uandike kama huna point potezea ili amani ya moyo iendelee kuwepo.
Kweli una hasira maana huyo uliemjibu wala hajakwambia wewe.
Pole lakini ipo siku utapata kazi na hasira zako zitashuka