Natafuta Kazi kwenye Stationary

Natafuta Kazi kwenye Stationary

Binti, huo unao uita upuuzi ndio hasa ushauri ulio kuingia sawia.
Na hapo palipo kukera ndipo hasa unapaswa uparekebishe ili kweli uonekane muhitaji na kisha mambo yaende vizuri.
Bado nakushauri tena kwamba punguza kuomba kazi kibabe (kwamba mwenye kukuhitaji atakupigia sim...!!), na hii inaonyesha wazi jinsi ulivyo kwa upande wa pili ambao hatuja jaaliwa kuuona kwenye maandishi yako.
Hakuna mtu yeyote alie wahi kufanikiwa kwasababu eti ni mwingi wa kibri
Tuliwashazoea hao unaowaona wewe wanaviburi lkn ukigeuza upande wa pili ndivyo sivyo. KARIBU TENA KWA USHAURI. 🙂
 
Mkuu Danitha ndio walivyo baadhi ya member wa jf haswa huyo ushimen ni wanafiki wanafiki sana ,yani kazi yao kubwa kutafuta kijisababu ili usisaidike , hapo usingeweka namba wangekukandia kwa nini, umeweka namba bado wanakukandia na visababu visivyoeleweka.
 
Mkuu Danitha ndio walivyo baadhi ya member wa jf haswa huyo ushimen ni wanafiki wanafiki sana ,yani kazi yao kubwa kutafuta kijisababu ili usisaidike , hapo usingeweka namba wangekukandia kwa nini, umeweka namba bado wanakukandia na visababu visivyoeleweka.
Kweli kabisa na wewe umeliona hilo,!!! Si kila post atakayotuma MTU lazima uijibu vitu vingine wanatakiwa watu wapotezee wawaachie wenye uhitaji. Mara weka email Mara picha ili mradi tu wao wajifurahishe, unajua wengi hawaingii kila wakati mtandaoni kwa hiyo ukiiweka namba inasaidia haraka kukupata hewani kama MTU anakuwa na uhitaji wa ukweli. KUNA mwingine hana uhitaji atakupigia simu kukukukebehi ni kupoteza muda KAMA IPO IPO TU.😕😕
 
Mkuu Danitha ndio walivyo baadhi ya member wa jf haswa huyo ushimen ni wanafiki wanafiki sana ,yani kazi yao kubwa kutafuta kijisababu ili usisaidike , hapo usingeweka namba wangekukandia kwa nini, umeweka namba bado wanakukandia na visababu visivyoeleweka.
Mkuu, huku ni kufarijiana ujinga. Na bahati nzuri sana kidogo nimefanikiwa kukufahamu, basi naomba nikupuuze.
Pia nikukumbushe kwamba kusaidiwa ni hiyari na wewe usiibadilishe kuwa ni jambo la lazima.
 
Mkuu, huku ni kufarijiana ujinga. Na bahati nzuri sana kidogo nimefanikiwa kukufahamu, basi naomba nikupuuze.
Pia nikukumbushe kwamba kusaidiwa ni hiyari na wewe usiibadilishe kuwa ni jambo la lazima.
Hahaaaa kama nilivyokupuuza Mimi.pole saaaana walimwengu ndivyo walivyooo
 
Jamani vijana jitambue, mjiheshimu na kuheshimu wengine ili msaidiwe..!

Jifunze unyenyekevu utawavusha mto aisei, binafsi Nina NAFASI za kuajiri vijana zaidi ya wanne za sales ila sasa akili zenu muda naona nikomae mwenyewe kwakweli. Personalities zenu kimaongezi, kujieleza, na vitendo havitoi fursa mtu kuwa amini badirikeni kiburi si maungwana na mgema akisifiwa tembo hulitia maji.
Hahaaaa kama nilivyokupuuza Mimi.pole saaaana walimwengu ndivyo walivyooo
 
Jamani vijana jitambue, mjiheshimu na kuheshimu wengine ili msaidiwe..!

Jifunze unyenyekevu utawavusha mto aisei, binafsi Nina NAFASI za kuajiri vijana zaidi ya wanne za sales ila sasa akili zenu muda naona nikomae mwenyewe kwakweli. Personalities zenu kimaongezi, kujieleza, na vitendo havitoi fursa mtu kuwa amini badirikeni kiburi si maungwana na mgema akisifiwa tembo hulitia maji.
Siku zote heshima haiji bila wewe binafsi kujiheshimu. Jiheshimu ili uheshimiwe. Uliona wapi MTU anatoa unyasi ulio katika jicho LA mwingine wakati yeye ana boriti kubwa. Basi anza boriti ndipo unyasi utolewe.
 
Siku zote heshima haiji bila wewe binafsi kujiheshimu. Jiheshimu ili uheshimiwe. Uliona wapi MTU anatoa unyasi ulio katika jicho LA mwingine wakati yeye ana boriti kubwa. Basi anza boriti ndipo unyasi utolewe.
Jeuri na kiburi chenu kitawaponza, kimya na unyenyekevu unalipa utambue Hilo, kujibizana na kujifanha jeuri kutakulaza njaa siku moja.
 
Tatizo hujataja uzoefu wako unaweza kufanya nini humo umepost kibabe huja ambatanisha picha nilikuwa nataka nikuombe kwa sister yangu alikuwa anahitaji mwajiri mpya kwa stational mpya kwaheri
Jifunze kuandika.
 
Jamani vijana jitambue, mjiheshimu na kuheshimu wengine ili msaidiwe..!

Jifunze unyenyekevu utawavusha mto aisei, binafsi Nina NAFASI za kuajiri vijana zaidi ya wanne za sales ila sasa akili zenu muda naona nikomae mwenyewe kwakweli. Personalities zenu kimaongezi, kujieleza, na vitendo havitoi fursa mtu kuwa amini badirikeni kiburi si maungwana na mgema akisifiwa tembo hulitia maji.
Kama akikujibu, atasema umemtukana ama una roho mbaya
 
Jeuri na kiburi chenu kitawaponza, kimya na unyenyekevu unalipa utambue Hilo, kujibizana na kujifanha jeuri kutakulaza njaa siku moja.
Kaa kimya kwanza wewe, kama we we ni mnyenyekevu kwa nn unaendelea kujibu msg. Utakuwa wa kwanza kulala na njaa wewe unayejifanya una unyenyekevu kumbe hata haujui maana ya sifa ya unyenyekevu. Anayetoa riziki ni mungu wewe ni nani si binadamu tu. Hebu jaribu kuonyesha huo unyenyekevu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom