Natafuta kazi halali jijini Dodoma

Natafuta kazi halali jijini Dodoma

kutwa kumsakama GENTAMYCINE wa watu hapa jamiiforums wakari kumbe una dhiki na shida tupu pumbavu mmoja wewe

Haya njoo pm ili nikupe dili la Kazi ya kuosha mbwa wa akina GENTAMYCINE pale kwao coco beach Oysterbay mita chache tu na nyumba ya waziri mkuu na ya marehemu reginald mengi sawa?

na subiri GENTAMYCINE atoke ban yake na akutane na huu uzi hakika hutokuwa na amani tena hapa jamvini kwani atakuandama na kukupa makavu mno na hivi hampendani utamkoma

adriz upo....?
Mimi nina roho ya huruma sana mkuu ,hapa nilipo naona dhiki moyoni kwa kumfanya jamaa aache tambo zake ,nyodo ,majivuno na matusi baada ya kumpa sindano zangu kali katika uzi ule na kuufufua huu uzi.

Japo yeye alianzisha vita na mimi ila sipendi kuona mtu akikosa amani na kuingiwa na uwoga kutochangamka tena kama zamani .Sijui kwa nini halo hii inanikuta tokea nipo mtoto sana hata mtu akipigwa na mzazi wake sababu ya kunionea mimi basi napatwa na huzuni mimi ambaye nimekosewa..

Hata hivyo vita yangu imeleta matokeo chanya jamaa sasa kamrudia Mungu ukisema vibaya anatumia upole na vifungu vya hekima bila dhihaka.

Hitimisho : Naomba mleta nada asamehewe ameshatubu na kurudisha majeshi , ila sijui upande wa GENTAMYCINE akirudi itakuwaje vita yake ..sipendi shari zitokee tena mpaka mwishowe apate trauma na kukimbia jukwaa.
 
Mmepaniki wazee kukosa kazi hakuhusiani na ushabiki😂
sasa kama anajijua kuwa kumbe ana dhiki na shida ya kazi kwanini muda mwingi anapenda kumchokoza na kumuandama GENTAMYCINE hapa jamiiforums?

na aombe Mungu huu uzi usionwe na GENTAMYCINE akitoka ban yake kwani najua atamuandama na kumtolea maneno ya kuudhi na atajuta hata kuja na huu uzi wake

mpuuzi mwenzake TUKANA UONE hakumsaidia juha, mshamba na masikini CAPO DELGADO kupata kazi?
 
CAPO DELGADO kuna kazi ya kuuza miwa vipi uliichangamkia au? kama bado sema ili nikupe dili la kuosha na kukogesha mbwa wa akina GENTAMYCINE pale kwao kwani alitangaza mahala kuwa anahitaji mfanyakazi. mnaweza hata kuifanya kwa kolabo na masikini mwenzako TUKANA UONE ili mpunguze stress na frustration zenu zitokazo na dhiki na shida na mkazihamishia katika kuwachukia members hapa hasa hasa GENTAMYCINE ambaye kutwa mnamuandama
Wewe ni Juha kwelikweli!

Unadhani mimi kukupiga Spana hapa unanichukulia poa?,Uliza wanawake wenzio hapa JF ndo wananifahamu vizuri Zumbukuku wewe!.

Muda huu nipo kwangu kwenye nyumba yangu niliyoijenga kwa fedha zangu halali huku nikila kiyoyozi wakati huo nikiendelea kukupiga Spana Tahira,juha,zwazwa,zuzu,zumbukuku,limbukeni GENTAMYCINE a.k.a MZURI SANA !

Vipi wewe hapo Kawe ukwamani mwenye nyumba ajadai kodi yake?

Vipi vipigo kutoka kwa wajeda bado wanawatemebezea?
 
CAPO DELGADO kuna kazi ya kuuza miwa vipi uliichangamkia au? kama bado sema ili nikupe dili la kuosha na kukogesha mbwa wa akina GENTAMYCINE pale kwao kwani alitangaza mahala kuwa anahitaji mfanyakazi. mnaweza hata kuifanya kwa kolabo na masikini mwenzako TUKANA UONE ili mpunguze stress na frustration zenu zitokazo na dhiki na shida na mkazihamishia katika kuwachukia members hapa hasa hasa GENTAMYCINE ambaye kutwa mnamuandama
Hii kazi bila shaka itawafaa wazanaki wenzio wa pale Butiama na Ngoreme!
 
sasa kama anajijua kuwa kumbe ana dhiki na shida ya kazi kwanini muda mwingi anapenda kumchokoza na kumuandama GENTAMYCINE hapa jamiiforums?

na aombe Mungu huu uzi usionwe na GENTAMYCINE akitoka ban yake kwani najua atamuandama na kumtolea maneno ya kuudhi na atajuta hata kuja na huu uzi wake

mpuuzi mwenzake TUKANA UONE hakumsaidia juha, mshamba na masikini CAPO DELGADO kupata kazi?
Mimi nataka nikusaidie wewe Cognizant pamoja na mwanamke mwenzio GENTAMYCINE ili baadae mje mnikatie mauno mbele ya Mkunyubenga wangu!
 
Mimi nina roho ya huruma sana mkuu ,hapa nilipo naona dhiki moyoni kwa kumfanya jamaa aache tambo zake ,nyodo ,majivuno na matusi baada ya kumpa sindano zangu kali katika uzi ule na kuufufua huu uzi.

Japo yeye alianzisha vita na mimi ila sipendi kuona mtu akikosa amani na kuingiwa na uwoga kutochangamka tena kama zamani .Sijui kwa nini halo hii inanikuta tokea nipo mtoto sana hata mtu akipigwa na mzazi wake sababu ya kunionea mimi basi napatwa na huzuni mimi ambaye nimekosewa..

Hata hivyo vita yangu imeleta matokeo chanya jamaa sasa kamrudia Mungu ukisema vibaya anatumia upole na vifungu vya hekima bila dhihaka.

Hitimisho : Naomba mleta nada asamehewe ameshatubu na kurudisha majeshi , ila sijui upande wa GENTAMYCINE akirudi itakuwaje vita yake ..sipendi shari zitokee tena mpaka mwishowe apate trauma na kukimbia jukwaa.
GENTAMYCINE nimfahamu mimi na aliye na visasi na Hasira kama wayahudi akitoka ban na kuona huu uzi nakuhakikishia mkuu huyu juha, masikini na mshamba CAPO DELGADO hatokuwa na furaha na amani tena hapa jamiiforums
 
Wakuu mnaanza kuharibu uzi ,hii sio poa haya si maisha kuendeleza uhasama .

Amani ni kitu muhimu sana na kuna wakati tuwe tunanyamaza hata kama tumekosewa na tuna uwezo wa kulipa kisasi.
 
Dogo mashauzi mengi, kumbe ni jobless.
kutwa tu yeye na mpumbavu mwenzake TUKANA UONE wanamshambulia bila ya sababu yoyote GENTAMYCINE wa watu kumbe ana dhiki, shida na umasikini mtupu

subiria GENTAMYCINE atoke ban yake na aikute hii taarifa iliyofukuliwa na adriz kwani hakuna rangi ataacha kuiona na hivi genta anapenda ligi na mapambano hakika cha moto atakiona na namuonea mno huruma
 
Mungu atufungulie sisi na vizazi vyetu!!

Wengine hii mitandao inatusaidia kupunguza depression!!

Kiukweli nyuma ya keyboards na phone buttons kuna mitihani mingi miongoni mwetu.
kwahiyo CAPO DELGADO yeye depression yake anaipunguza kwa tabia yake ya kutwa kumchokoza na kumshambulia GENTAMYCINE hapa jamiiforums?
 
Wakuu mnaanza kuharibu uzi ,hii sio poa haya si maisha kuendeleza uhasama .

Amani ni kitu muhimu sana na kuna wakati tuwe tunanyamaza hata kama tumekosewa na tuna uwezo wa kulipa kisasi.
Usijifanye mwema wakati wewe ndio uliofufua uzi.
Tulia hivyo hivyo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom