MENEMENE TEKERI NA PERESI
JF-Expert Member
- Mar 11, 2022
- 9,314
- 25,453
Kazi kumpa sio shida ila aseme Elimu yake au fani au experience ya kazi aliyonayo .Mkuu kijana mwenzio anaomba kazi inapaswa umsaidie kama unayo!
Ila mimi nimemjibu kulingana na nukuu za wanazuoni wakubwa hapa duniani .
Ukizingatia mimi amewahi kuninyima raha kwenye kajukwaa kamoja hivi , basi nikawa namuogopa kishenzi [emoji3] maana alinichachafya kwa nukuu za wanazuoni wakubwa nikasema hili ni lidingi fulani wacha nisibishane nalo kumbe ni katoto kadogo kananipanda kichwani .
Anaandika mzee mmoja wa makamo wao ni wao
"Ni kheri kuwa mjinga wa mawazo mbele ya kadamnasi kuliko kuvimba mabega wakati muda ungalipo "
Anyway oyaa wewe CAPO DELGADO ulipata kazi au haukupata ? Njoo hapa haraka unijibu tuone tunabebana vipi wewe litoto