Natafuta kazi halali jijini Dodoma

Natafuta kazi halali jijini Dodoma

HABARI WANA JAMII FORUMS.

Ndugu zangu na watanzania wenzagu mimi kijana wenu, ninaomba kazi yoyote ya Halali, NINA SHIDA NZITO SANA NAOMBENI MSAADA WENU NDUGU ZANGU.

NAPATIKANA DODOMA.
Asanteni sana
Anaandika mwalimu Julius Kambarage Nyerere katika diwani ya mnyampara .

"Ni kheri kunguni mmoja katika walio wengi ambaye hajajikuta ana akili kuliko wenzio maana vijana wa nyakati zijazo watakuwa wajinga sana kama CAPO DELGADO kijana mmoja katika usomi wa kuunga unga ."

Ila pia anaandika kijana mmoja wakuitwa TUKANA UONE

" Ukweli usiopingika ni kuwa vijana mnajikuta wajuaji ilihali kumbe ni njaa za tumbo zinawaendesha sana "

Kuchagiza katika mada hizo basi naye daktari wa watu , ambaye ni wa mzaramo wa kwanza kwenye ukoo wao kuwa daktari bwana MENEMENE TEKERI NA PERESI alikuwa na haya ya kusema .

" Vijana wa kileo mnajikuta sana kumbe maisha hayaendi hivyo "
 
Anaandika mwalimu Julius Kambarage Nyerere katika diwani ya mnyampara .

"Ni kheri kunguni mmoja katika walio wengi ambaye hajajikuta ana akili kuliko wenzio maana vijana wa nyakati zijazo watakuwa wajinga sana kama CAPO DELGADO kijana mmoja katika usomi wa kuunga unga ."

Ila pia anaandika kijana mmoja wakuitwa TUKANA UONE

" Ukweli usiopingika ni kuwa vijana mnajikuta wajuaji ilihali kumbe ni njaa za tumbo zinawaendesha sana "

Kuchagiza katika mada hizo basi naye daktari wa watu , ambaye ni wa mzaramo wa kwanza kwenye ukoo wao kuwa daktari bwana MENEMENE TEKERI NA PERESI alikuwa na haya ya kusema .

" Vijana wa kileo mnajikuta sana kumbe maisha hayaendi hivyo "
Hahaaa kaisha basi
 
Anaandika mwalimu Julius Kambarage Nyerere katika diwani ya mnyampara .

"Ni kheri kunguni mmoja katika walio wengi ambaye hajajikuta ana akili kuliko wenzio maana vijana wa nyakati zijazo watakuwa wajinga sana kama CAPO DELGADO kijana mmoja katika usomi wa kuunga unga ."

Ila pia anaandika kijana mmoja wakuitwa TUKANA UONE

" Ukweli usiopingika ni kuwa vijana mnajikuta wajuaji ilihali kumbe ni njaa za tumbo zinawaendesha sana "

Kuchagiza katika mada hizo basi naye daktari wa watu , ambaye ni wa mzaramo wa kwanza kwenye ukoo wao kuwa daktari bwana MENEMENE TEKERI NA PERESI alikuwa na haya ya kusema .

" Vijana wa kileo mnajikuta sana kumbe maisha hayaendi hivyo "
Mkuu kijana mwenzio anaomba kazi inapaswa umsaidie kama unayo!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom