Ulivyo king'ang'anizi! Basi jiunge na "shikamoo jazz band" tujue moja! Lol!ha haaaa, wale warembo wetu wanaweza kuwa pacha........
mwingine alizaliwa wakati mamake ana 18 years, mwingine mamake akiwa na 30 years....... umeipata hiyo?
pamoja na kuchakachua hujanikuta......Hahaha yaani naisubiria kwa hamu hiyo siku utakapothibitisha nisemayo, majicho yatakutokaje sasa? Utazirudisha mwenyewe bila kupenda. We haya wee
Ndio maana nikasema Da Mkubwa, kama at 38 bado ni kinda basi sina budi kupiga saluti..........shikamoo dada.pamoja na kuchakachua hujanikuta......
nasubiri tu utakaposema sistahili kuwa dada mkubwa bali mama.......
wewe hapa huna mjadala, amkia tu ukacheze na wenzio..... hata cheti hutakiwi kuleta, ni obvious.....Fixed Point nimekuja
wewe upo kwenye list za wadogo zangu bana....nipo hapa wala usiumize kichwa
ha haaaa..... sijacheka tangu niamke, lol!Umempata dada Mkubwa Fixed Point MwanajamiiOne namzidi mbali sana
mie ninaelekea kuchukua hela yangu ya NSSF 54 years old Copy Asprin RR and Nyamayao bila kumsahau Fidel80
umepata pa kukimbilia
basi si utakuwa unanifulia uniform za shule eeeh maana jana nilicheza kwenye vumbiwewe upo kwenye list za wadogo zangu bana....
amkia tu ukaendelee kucheza
ha haaa, wewe ndo unanidhihirishia kabisaaa unavyostahili kuniamkia, marahabaaaa hujambo mdogo wangu?
Nakuona umefreeze baada ya kusikia kitu hiki kikiwa angani lol!....hata shikamoo milioni kwa siku hazitakutosha rafiki π π lol!
usijali.....basi si utakuwa unanifulia uniform za shule eeeh maana jana nilicheza kwenye vumbi
ha haaa, wewe ndo unanidhihirishia kabisaaa unavyostahili kuniamkia, marahabaaaa hujambo mdogo wangu?
hizi enzi zetu hazikuwepo
wewe hapa huna mjadala, amkia tu ukacheze na wenzio..... hata cheti hutakiwi kuleta, ni obvious.....
kwi kwi kwiiiii... watu wanaupenda ukubwa jamaniiii...