mambo_safi
Senior Member
- Jul 22, 2019
- 147
- 392
Mwenye IST au VITz ya kukodi kwa ajili ya uber tuwasiliane! Nitamletea hesabu nzuri. Gari langu liko kwenye matengenezo makubwa! 0738969673
30000 kwa siku? na service juu yako? ujawahi kufanya kazi ya uber wewe.au labda bado mchanga.Service na likiharibika ni juu yangu
Kama Kama bado anatafuta dereva naomba niunganishe na ila kiukweli hesabu ya Uber ni 175000 kwa wiki kaka ninauzoefu mwaka mmojaNdugu yngu moja anatafuta dereva we hesabu unaleta kiasi gni kwa siku nimpange
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu atakuwa ana lengo lingine na hilo gariZakaria mimi nina mwaka wa Pili na nusu kwenye hizi kazi huku barabarani kulivyo na mambo yanayofanywa na hizo taasisi sasaivi please usijinasibu rejesho refu kiasi hicho na service juu yako kazi itakushinda utagombana na wamiliki wa vyombo vyao.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kaka mi mwenyewe ni dereva najua kinachoendelea na sijajinasibu kwamba nitafanyia services gari huyo ni mtoa post ndo anataka kufanyia gari service mi natafuta gari ya hesaba 25 elfu kwa siku na nnaiweza ila services anafanya bossZakaria mimi nina mwaka wa Pili na nusu kwenye hizi kazi huku barabarani kulivyo na mambo yanayofanywa na hizo taasisi sasaivi please usijinasibu rejesho refu kiasi hicho na service juu yako kazi itakushinda utagombana na wamiliki wa vyombo vyao.
Sent using Jamii Forums mobile app