habari, natafuta htc m8 original internal memory 32 gb used,iwe ktk hali nzuri isiwe na michuboko na ubovu wowote.Budget yngu laki 5.mwenye nayo aweke contacts zake ntamtafuta,sihitaji clone original tu...
Ukikosa m8 mm ninayo m7 32gb iko safi kabisa ila ina back camera issue meaning kwenye dim light inakuwa na rangi ya upink......mm naiuza kwa 200k kama ilivyo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.