Kahama- shy
JF-Expert Member
- Oct 18, 2024
- 1,951
- 2,694
Kila mkoa Huwa una hulka yake mkuu baadhi ya vituWe jamaa jau vinchinchili ndo vinamba au
Kila mkoa Huwa una hulka yake mkuu baadhi ya vituWe jamaa jau vinchinchili ndo vinamba au
Daaah hili jina limekaa kitoto toto sana ujueKila mkoa Huwa una hulka yake mkuu baadhi ya vitu
Si ndo. Nakwambia, kuna sehemu unaweza ukaenda ukakuta maembe wenyewe wanaita eemayembe ukasema Hawa ni wehu🤣Daaah hili jina limekaa kitoto toto sana ujue
Nimecheka sana 😂😂😂😂😂
Daaah mkuu acha kabisaSi ndo. Nakwambia, kuna sehemu unaweza ukaenda ukakuta maembe wenyewe wanaita eemayembe ukasema Hawa ni wehu🤣
Pm kwako kumechangamka sana mkuu🤣🤣Mkuu nimefungiwa pm sijui shida nini aiseeeView attachment 3554471
Natafuta mfanyakazi wa ndani
Habari za muda huu ndugu zangu, jamaa na marafiki.
Kutokana na mazingira ya kazi kuwa mengi, nimeamua kutafuta msaidizi wa kazi za ndani (House Manager) ambaye atasaidiana nami majukumu ya hapa nyumbani.
Lakini sifa za mfanyakazi huyu nimeziweka kidogo ki-special maana sitaki mambo ya kuleteana ganzi hapa mjini.
Vigezo na Sifa za Mwombaji:
Muonekano: Awe mweupe (rangi ya mtume), maana nataka nyumba iwe na mwanga muda wote hata umeme ukikatika.
Umri: Usizidi miaka 25. Nataka mtu mwenye nguvu za kupambana na vumbi, siyo wa kuugua mgongo kila saa tano.
Hali ya Familia: Awe hana mtoto na awe (Single). Sitaki majukumu ya ziada ya kuanza kutunza wajukuu wa watu hapa ndani.
Elimu: Awe amemaliza angalau Darasa la Saba. Kikubwa ajue kusoma na kuandika (ajue kutofautisha chumvi na sukari, na aweze kuandika orodha ya mahitaji bila kukosea).
Dini na Kabila: Mengine yote ni ziada, awe anatoka popote na anasali popote, mradi awe na hofu ya Mungu na awe na nidhamu ya hali ya juu.
Sifa ya Ziada: Awe anajua kupika chakula kikaiva (siyo kutupia tu), mcheshi, na mwenye uwezo wa kufuata maelekezo bila kubisha.
Zingatia: Sifa hizi ni kama natafuta mke, lakini kwa sasa ni kwa ajili ya usafi na mapishi tu! Kama unamjua binti yeyote mwenye vigezo hivi na anatafuta kazi, niletee CV yake (au picha yake kwanza nione kama rangi imekubali).
Kazi ipo, mshahara ni makubaliano na mazingira ni rafiki sana!
Wako katika ujenzi wa Taifa.
Nataka kabla ya kwenda Iran aje hapa Tabata, nimuandalie hayo mapitioMatumizi ya kufanyiwa faulu kwa nyuma, au 😂.
Ngoja tutamwita.Nataka kabla ya kwenda Iran aje hapa Tabata, nimuandalie hayo mapitio
😂😂😂😂😂😂😂 Mambo ya kutafuta mishangazi mkuuPm kwako kumechangamka sana mkuu🤣🤣
Anyooke 😁😁, vitoto vya watu vinatumika vbaya maskinMuonekano: Awe mweupe (rangi ya mtume), maana nataka nyumba iwe na mwanga muda wote hata umeme ukikatika.
Sema unatafuta Mke😅
Upwiru kitu kibaya saaanaNatafuta mfanyakazi wa ndani
Habari za muda huu ndugu zangu, jamaa na marafiki.
Kutokana na mazingira ya kazi kuwa mengi, nimeamua kutafuta msaidizi wa kazi za ndani (House Manager) ambaye atasaidiana nami majukumu ya hapa nyumbani.
Lakini sifa za mfanyakazi huyu nimeziweka kidogo ki-special maana sitaki mambo ya kuleteana ganzi hapa mjini.
Vigezo na Sifa za Mwombaji:
Muonekano: Awe mweupe (rangi ya mtume), maana nataka nyumba iwe na mwanga muda wote hata umeme ukikatika.
Umri: Usizidi miaka 25. Nataka mtu mwenye nguvu za kupambana na vumbi, siyo wa kuugua mgongo kila saa tano.
Hali ya Familia: Awe hana mtoto na awe (Single). Sitaki majukumu ya ziada ya kuanza kutunza wajukuu wa watu hapa ndani.
Elimu: Awe amemaliza angalau Darasa la Saba. Kikubwa ajue kusoma na kuandika (ajue kutofautisha chumvi na sukari, na aweze kuandika orodha ya mahitaji bila kukosea).
Dini na Kabila: Mengine yote ni ziada, awe anatoka popote na anasali popote, mradi awe na hofu ya Mungu na awe na nidhamu ya hali ya juu.
Sifa ya Ziada: Awe anajua kupika chakula kikaiva (siyo kutupia tu), mcheshi, na mwenye uwezo wa kufuata maelekezo bila kubisha.
Zingatia: Sifa hizi ni kama natafuta mke, lakini kwa sasa ni kwa ajili ya usafi na mapishi tu! Kama unamjua binti yeyote mwenye vigezo hivi na anatafuta kazi, niletee CV yake (au picha yake kwanza nione kama rangi imekubali).
Kazi ipo, mshahara ni makubaliano na mazingira ni rafiki sana!
Wako katika ujenzi wa Taifa.
Hatimaye unataka mikono ipumzike sasaNatafuta mfanyakazi wa ndani
Habari za muda huu ndugu zangu, jamaa na marafiki.
Kutokana na mazingira ya kazi kuwa mengi, nimeamua kutafuta msaidizi wa kazi za ndani (House Manager) ambaye atasaidiana nami majukumu ya hapa nyumbani.
Lakini sifa za mfanyakazi huyu nimeziweka kidogo ki-special maana sitaki mambo ya kuleteana ganzi hapa mjini.
Vigezo na Sifa za Mwombaji:
Muonekano: Awe mweupe (rangi ya mtume), maana nataka nyumba iwe na mwanga muda wote hata umeme ukikatika.
Umri: Usizidi miaka 25. Nataka mtu mwenye nguvu za kupambana na vumbi, siyo wa kuugua mgongo kila saa tano.
Hali ya Familia: Awe hana mtoto na awe (Single). Sitaki majukumu ya ziada ya kuanza kutunza wajukuu wa watu hapa ndani.
Elimu: Awe amemaliza angalau Darasa la Saba. Kikubwa ajue kusoma na kuandika (ajue kutofautisha chumvi na sukari, na aweze kuandika orodha ya mahitaji bila kukosea).
Dini na Kabila: Mengine yote ni ziada, awe anatoka popote na anasali popote, mradi awe na hofu ya Mungu na awe na nidhamu ya hali ya juu.
Sifa ya Ziada: Awe anajua kupika chakula kikaiva (siyo kutupia tu), mcheshi, na mwenye uwezo wa kufuata maelekezo bila kubisha.
Zingatia: Sifa hizi ni kama natafuta mke, lakini kwa sasa ni kwa ajili ya usafi na mapishi tu! Kama unamjua binti yeyote mwenye vigezo hivi na anatafuta kazi, niletee CV yake (au picha yake kwanza nione kama rangi imekubali).
Kazi ipo, mshahara ni makubaliano na mazingira ni rafiki sana!
Wako katika ujenzi wa Taifa.
Ameoaje na anatafuta mke hapo?Mkuu naomba nijue kama umeoa au laa...
Unaitafutia humu jf kumbe?😂😂😂😂😂😂😂 Mambo ya kutafuta mishangazi mkuu
Acha kabisa
Mmmh yeye amesema anataka mdda wa kazi ujue 😂😂😂😂😂Ameoaje na anatafuta mke hapo?