Raimundo
JF-Expert Member
- May 23, 2009
- 13,416
- 12,604
Mungu anakuona mkuu
Kiukweli Mungu anisamehe tu, kila nikisikiaga story za huyu dada ni lazima nikikumbuke hiki kitabu.
Hope siyo za kivile.
Mungu anakuona mkuu
Devine Providence kinasomwa Advance levelA Wreath for Father Mayor ni cha zamani kimerudi tena? Vitabu vya Ndunguru navipenda vimekaa kiimani zaidi...kuna kingine kinaitwa Devine Providence ni kizuri sana
mi nikisikiaga Limbwata namkumbuka kaka wa hum alivyogeuka zezeta kisa limbwata...hata shemeji yenu nikitaka kumpa najikuta naahirishaKiukweli Mungu anisamehe tu, kila nikisikiaga story za huyu dada ni lazima nikikumbuke hiki kitabu.
Hope siyo za kivile.
Yeah ni kweliDevine Providence kinasomwa Advance level
Mimi nakitafuta kitabu kinaitwa "Mateka Mpakani" nisaidieni jinsi ya kukipata Wakuu!Inategemea uko wapi mkuu. Ukikiagiza kupitia "Amazon" utalipa dola za kimarekani $5.98 na watakusafirishia hadi mlangoni.