mirindimo
JF-Expert Member
- Nov 2, 2009
- 821
- 1,343
Najua kuna maeneo mengi ya kumpata,kanisani etc lakini hata humu wanaosoma na hasa wewe unaesoma hii thread una akili timamu (a girl) sisemi wanaume si timamu hapa am talking about my coming girl eeeeeeh......sifa zangu: Am handsome,tall,black,si mnene si mwembamba kati hapo,sifa zingine utazijua badae INBOX me please.....