wewe ni ke au me?Unataka kununua au kuhongwa? Mi ninayo yakuhonga.
Mkuu,
Nakushauri usiwe na hulka ya kununua gari kwa Wabongo. Utalizwa. hata hivyo kama imekulazimu kufanya hivyo na kwa vile unahitaji gari dogo ni vizuri upate Duet and Vitz au IST, hapa nina maana ya TOYOTA product.
Kuhusu bei, tafadhali usikubali kununua gari ya aina moja wapo hapo juu inayozidi 6m. Ikizidi 6m ni afadhali uagize mwenyewe Japan and will cost you estimate ya 7.8 hadi 8.2 ( But this time at your own choice and preference)
Kumbuka single user vehicle ni poa kuliko multiple users.
Take Care
nyeusi,bei yake million 990tsh.no discountMkuu, niuzie naitaka nipe bei rangi ngapi?
ninayo suzuki ina 660cc very economic ya mafuta inaenda kilometer 20 hadi 25 milango 5
Ni ya mwaka gani nipm tuelewaneNina Cresta GX 100 mil 7.5
Kwani unataka gari ME au gari KE??wewe ni ke au me?
ninazo mkuu. NISSAN MARCH YA 2000, 2002, PEUGEOT 306 YA 2002 NA ZIKO BOMBA. NISSAN YA 2002 NI MANUAL TRANSMITION. ZIKO ARUSHA. PM kama vipi.rejeeni kichwa cha habari.natafta gari ndogo, swift, duet, vitz, strlet n.kza type hiyo.sema fasta kama ipo.
uko sahihi mkuu. Waeleze kama siku hizi ushuru tunakokotoa tofauti na si kama zamani. M7 ni ya kununua simu na si gari tena.OPTION YA KUAGIZA: Kabla hujaamua kuagizanNenda kwenye Website ya TRA kwanza, wameainisha Kodi mpya za Uingizaji Magari........Babadua kwanza otherwise utaacha gari bandarini..........Mnwele ana data zza zamani kidogo.Used Vitz Kwa kweli kwa uchee from Japan si chini ya a12million.
Transmission | Manual |
Drive Type 4WD |
Odometer | 202,200 km at Japan |
tehe tehe, hiyo 'barun' ndio ikoje?kuna barun six (Mark II white) nataka 4mil bado ipo katika hali nzuri. gari ndogo siyo dili mzazi.
Punguza kidogo ndugu ya fanya milioni 900 si unajua tena umeme wa mgao kazi hamnanyeusi,bei yake million 990tsh.no discount
Eeh! Wewe; hebu staghfiru kwanza.