Natafuta gari mpya (Hiace) ya Mkataba

Natafuta gari mpya (Hiace) ya Mkataba

Mko

Mkopo wa benk za kiislamu haujatimiza masharti ya mkopo wa kiislamu. Kwa sababu mkopeshaji sio mwenye kumiliki mali anayoikopesha. Kwahiyo zile ni riba zilizojificha kwenye kichaka cha faida.
Islamic banking haina tofauti na hizi za makafiri Tu.

Wao watakwambia tutakupatia Mali bila riba wewe utarejesha kiasi hicho hicho, lakini kwenye kukupa hizo mali wameshajumlisha 15% yap, so ni lugha tu
 
Back
Top Bottom