Natafuta fundi wa Gari - Forester

Natafuta fundi wa Gari - Forester

narumuk

JF-Expert Member
Joined
Feb 10, 2018
Posts
2,965
Reaction score
3,592
Anatafutwa Fundi wa Forester ili asaidie katika kuondoa changamoto hizi mbili:-
i. Gari linawaka AC ikifika muda AC inakata ila baadaye inaanza tena. Nadhani hapa kuna error ambayo mwenye diagnostic Kit anaweza saidia
ii. Gari lina camera ila uki - reverse Dashboard hai respond.

Nitashukuru kwa msaada wenu wana nzengo
 
Anatafutwa Fundi wa Forester ili asaidie katika kuondoa changamoto hizi mbili:-
i. Gari linawaka AC ikifika muda AC inakata ila baadaye inaanza tena. Nadhani hapa kuna error ambayo mwenye diagnostic Kit anaweza saidia
ii. Gari lina camera ila uki - reverse Dashboard hai respond.

Nitashukuru kwa msaada wenu wana nzengo
Ac check ignition coil, badilisha ikiwezekana. Kwenye camera check na diagnostic tool
 
Jambo la kwanza kabisa ni kuchecki nguvu ya alternator yako. Kama Alternator ni zima kabisa, basi soma sehemu inayofuata hapa chini.

Check compressor; kama compressor yako ni nzima, basi kuna kajamaa kanaitwa expansion valve kanakopunguza pressure ya gesi. Haka kajamaa kakichoka basi gesi inaingia kwenye evaporator na pressure ya juu na hivyo kusababisha compressor ishindwe kuhimili; kanafanana hivi

1746042753604.png
 
Jambo la kwanza kabisa ni kuchecki nguvu ya alternator yako. Kama Alternator ni zima kabisa, basi som sehemu inayofuata hapa chini.

Check compressor; kama compressor yako ni nzima, basi kuna kajamaa kanaitwa expansion valve kanakopunguza pressure ya gesi. Haka kajamaa kakichoka basi gesi inaingia kwenye evaporator na pressure ya juu na hivyo kusababisha compressor ishindwe kuhimili; kanafanana hivi

View attachment 3321134
Mkuu wewe ni fundi mzuri sana
 
Jambo la kwanza kabisa ni kuchecki nguvu ya alternator yako. Kama Alternator ni zima kabisa, basi soma sehemu inayofuata hapa chini.

Check compressor; kama compressor yako ni nzima, basi kuna kajamaa kanaitwa expansion valve kanakopunguza pressure ya gesi. Haka kajamaa kakichoka basi gesi inaingia kwenye evaporator na pressure ya juu na hivyo kusababisha compressor ishindwe kuhimili; kanafanana hivi

View attachment 3321134
Kichuguu,

Mzee wa kutetea vita ya Uganda.

Wewe fala kweli.

Leo hii tungekua on the same par with Kenya economically
 
Back
Top Bottom