Brainze11
Senior Member
- Sep 2, 2012
- 173
- 56
Je ulishawahi kusikia watu au fundi anakuambia gari limeingia kwenye immobilizer na ukashindwa kufahamu nini?
Immobilizer ni mfumo wa security ya funguo katika gari. Mfumo huu umewekwa ili kudhibiti wizi wa magari, kwani mtu akichonga funguo aina sawa na gari hawezi kuliwasha.
JINSI MFUMO UNAVOFANYA KAZI
Mfumo huu unafanya kazi kutokana na sensor(transponder) ambayo inakua kwenye funguo wa gari husika, sensor hii hutumika kama utambuzi wa funguo ni sahihi wa gari hilo au la,kama ni sahihi basi sensor hiyo hutoa signal kwenye immobilizer, na immobilizer huruhusu mfumo wa mafuta, spark na ignition kufanya kazi na kuwezesha gari kuwaka.
Kama funguo itakua ni tofauti, basi immobilizer hupata signal tofauti, hivyo basi huzuia mfumo wa mafuta, spark na starter kufanya kazi na kupelekea gari kuto kuwaka.
VITU VINAVYO SABABISHA GARI KUINGIZA FAULT YA IMMOBILIZER
Kwanza kabisa ni ufunguo wa gar kupotea, hii husababisha gari kutokuwaka hata pale utakapochonga ufunguo sawa na wa mwanzo. Kwani inahitajika kuprogram sensor nyingine ambayo itawekwa kwenye ufunguo ili kuwezesha gari kuwaka.
Kudondosha funguo mara kwa mara hii husababisha sensor kuvunjika kwa ndani, pia funguo kuingiliwa na maji kwani hua yanatengezeza unyevu ambao pia una haribu ile sensor na kusababisha gari kuto kuwaka.
BAADHI YA ALAMA ZA TAA KWENYE GARI ILI KUJUA GARI KAMA IMEINGIA KWENYE IMMOBILIZER
*KAMA UNA SWALI USISITE KUULIZA*
KWA MAWASILIANO ZAIDI;-
Phone:+255714704097
Email:info@wakudesahrt.com
Website:www.wakudesahrt.com
Immobilizer ni mfumo wa security ya funguo katika gari. Mfumo huu umewekwa ili kudhibiti wizi wa magari, kwani mtu akichonga funguo aina sawa na gari hawezi kuliwasha.
JINSI MFUMO UNAVOFANYA KAZI
Mfumo huu unafanya kazi kutokana na sensor(transponder) ambayo inakua kwenye funguo wa gari husika, sensor hii hutumika kama utambuzi wa funguo ni sahihi wa gari hilo au la,kama ni sahihi basi sensor hiyo hutoa signal kwenye immobilizer, na immobilizer huruhusu mfumo wa mafuta, spark na ignition kufanya kazi na kuwezesha gari kuwaka.
Kama funguo itakua ni tofauti, basi immobilizer hupata signal tofauti, hivyo basi huzuia mfumo wa mafuta, spark na starter kufanya kazi na kupelekea gari kuto kuwaka.
VITU VINAVYO SABABISHA GARI KUINGIZA FAULT YA IMMOBILIZER
Kwanza kabisa ni ufunguo wa gar kupotea, hii husababisha gari kutokuwaka hata pale utakapochonga ufunguo sawa na wa mwanzo. Kwani inahitajika kuprogram sensor nyingine ambayo itawekwa kwenye ufunguo ili kuwezesha gari kuwaka.
Kudondosha funguo mara kwa mara hii husababisha sensor kuvunjika kwa ndani, pia funguo kuingiliwa na maji kwani hua yanatengezeza unyevu ambao pia una haribu ile sensor na kusababisha gari kuto kuwaka.
BAADHI YA ALAMA ZA TAA KWENYE GARI ILI KUJUA GARI KAMA IMEINGIA KWENYE IMMOBILIZER



*KAMA UNA SWALI USISITE KUULIZA*
KWA MAWASILIANO ZAIDI;-
Phone:+255714704097
Email:info@wakudesahrt.com
Website:www.wakudesahrt.com