Natafuta fundi simu Kkoo

Natafuta fundi simu Kkoo

James88

JF-Expert Member
Joined
May 14, 2017
Posts
1,700
Reaction score
1,765
Habari za Asubuhi Wanajukwaa,
Natafuta fundi simu, ambaye anaweza kunitengenezea simu yangu aina ya Sony Xperia Z3+ . Kuna fundi alinifanyia kituko ndio maana nimelazimika kuingia huku. Kama ww ni fundi tuwasiliane au kama kuna fundi ambaye unamfahamu vizuri kwamba siyo mbabaishaji naomba uniunganishe naye.

Asanteni
 
Back
Top Bottom