James88
JF-Expert Member
- May 14, 2017
- 1,700
- 1,765
Habari za Asubuhi Wanajukwaa,
Natafuta fundi simu, ambaye anaweza kunitengenezea simu yangu aina ya Sony Xperia Z3+ . Kuna fundi alinifanyia kituko ndio maana nimelazimika kuingia huku. Kama ww ni fundi tuwasiliane au kama kuna fundi ambaye unamfahamu vizuri kwamba siyo mbabaishaji naomba uniunganishe naye.
Asanteni
Natafuta fundi simu, ambaye anaweza kunitengenezea simu yangu aina ya Sony Xperia Z3+ . Kuna fundi alinifanyia kituko ndio maana nimelazimika kuingia huku. Kama ww ni fundi tuwasiliane au kama kuna fundi ambaye unamfahamu vizuri kwamba siyo mbabaishaji naomba uniunganishe naye.
Asanteni