Natafuta dereva wa pikipiki yaani bodaboda

Natafuta dereva wa pikipiki yaani bodaboda

ladyfurahia

JF-Expert Member
Joined
May 10, 2011
Posts
14,758
Reaction score
9,589
Habari wana jf nahitaji dereva mzuri na mzoefu wa kuendesha pikipiki (bodaboda) aina sunlg kwa kufanya nae biashara hiyo ya ambaye ni kijana mdogo mccheshi, mwenye kuvutia wateja, mkarimu, mwaminifu, mcha Mungu anayeipenda kazi yake na kuijali hasa kifaa cha kazi yake na awe mtunzaji awe anatokea maeneo ya Kinondoni hizo ndo sifa atakiwazo. Kwa anayehitaji awasiliane nami, awe na leseni ya chombo hicho cha pikipiki, awe tayari mimi nipajue anapoishi ili kulinda usalama w achombo changu na yeye pia kama kutakuwa na matatizo yeyote.
awasiliane nami kwa email hii:nikprintgraphics@yahoo.com
 
Naona Lady umeweka point ya mcha Mungu kwahio Je utakuwa unampa Off jamaa either Ijumaa, Jmosi au Jpili ili aende Sabato/Kanisani au Msikitini ? au itabidi awe anamcha Mungu wake akiwa barabarani
 
Dada umeingia kwenye biashara pasua kichwa, utaomba poo mwenyewe. . .
 
KAMA NI MCHA MUNGU NITAMPA NAFASI ILI AENDE KUSALI NA SIKU HIYO ITAKUWA YA MAPUMZIKO KWAKE AKITOKA KUSALI ILA INABIDI ACHAGUE SIKU MOJA TU YA KUSALI KWANI WENGINE WANASALI JUMA ZIMA SASA HAPO NTAPATA WAPI KITOWEO KAMA AKISALI SIKU ZOTE SI HAKUNA KAZI YOYOTE HAPO? sun wu
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom