Habari zenu wakuu, natafuta madereva wawili wa bodaboda, kwa siku alete buku 7, pia Awe mwaminifu na sio msumbufu wa kuleta hesabu na awe mwenyeji wa dar hasa mwenge, makumbusho na maeneo ya karibu na hayo pia Aje na barua ya utambulisho na kopi ya kitambulisho. Aliye tayari awasiliane na mimi kwa namba 0620704530.