Zamazamani
JF-Expert Member
- Jun 13, 2008
- 1,903
- 828
Wakuu nahitaji dawa effective ya kuua panya kwani nyingi ni fake.... au ninapoweza kupata hata paka/nyau ambaye yuko makini katika kuua na kufukuza panya.......ushauri unaruhusiwa pia..natanguliza shukurani
