Greatthinker47
Senior Member
- Sep 24, 2021
- 122
- 183
Wadau wa jamii forums naomba yeyote mwenye kufahamu chuo chochote au mahali popote hapa Dar es Salaam ninapoweza kujifunza 3D modelling and designs na gharama zake nahitaji kuelewa Sana hii kitu
Jaribu kwenda DIT unaweza pata unachohitaji au muongozo.Wadau wa jamii forum naomba yeyote mwenye kufahamu chuo chochote au mahali popote hapa Dar es Salaam ninapoweza kujifunza 3D modelling and designs na gharama zake nahitaji kuelewa Sana hii kitu
Ahsante nitajaribuuJaribu kwenda DIT unaweza pata unachohitaji au muongozo.
Yes Aende DIT wana kozi ya 3D na animation.Jaribu kwenda DIT unaweza pata unachohitaji au muongozo.
Hii ndo naitaka sanaYes Aende DIT wana kozi ya 3D na animation.
KaribuHii ndo naitaka sana
Unaizungumziaje Kwa experience yako mtaan?Hyo nilisoma Udom pale CIVE
Unaizungumziaje Kwa experience yako mtaan?
Nakusoma vzr na kwa upande wako wewe binafs 3D unaona ikikupeleka wap toka hapo ulipo au imekutoa vipi mpaka kufikia hapo ulipo mkuuShida ya hii ki2 inataka team, kichuo chuo tuliweza kufanya vitu, ila baada ya kumaliza ikawa ngumu, na 3D inataka muda na utulivu, pia inayaka pc yenye uwezo mkubwa
Muda mrefu sana sifanyi hizi mambo, japo natamani kuanza tena ila muda sasa....honestly ukipata team nzuri mtafika mbali maana hapa kibongo bongo kwenye animation bado, wenzetu wakenya wako mbali.Nakusoma vzr na kwa upande wako wewe binafs 3D unaona ikikupeleka wap toka hapo ulipo au imekutoa vipi mpaka kufikia hapo ulipo mkuu