Chuo bora ni YouTube, achana na vyuo vya bongo vya kukariri.Habari,
Msaada jamani, natafuta Chuo kinachotoa Mafunzo ya Graphics Design kinachotoa Course kwa uhakika hapa Dar es Salaam kwa anaekijua tafadhali anijuze.
Hata mtandaoni wanatoa vyetiChuo bora ni YouTube, achana na vyuo vya bongo vya kukariri.
Labda kama unataka cheti.
Sent using Jamii Forums mobile app