we njoo tu upange chumba wasikuchanganye hao hapo kwamba kupanga chumba first year utaharibikiwa
Me niko maeneo ya dark city hapo nimepanga toka naingia mwaka wa kwanza mpk now naenda final year wala hakuna cha ajabu...
kwanza hostel ukichelewa siku tu ya kufungua hupati.. we jipange uje upange chumba kijana achana na hostel za mazimbu.