Natafuta chumba cha kushare (nichangie rent)

Natafuta chumba cha kushare (nichangie rent)

Vipi kuhusu huduma muhimu za kibinadamu? Kazi yangu natakiwa kuwa nadhifu ofisini, hivyo siwezi kulala kwenye maboks. Asante kwa maoni.
hahaha kuna raia wanakaa sehemu za ajabu na kazini ni nadhifu ohoo jikaze au tafuta gest za mtaani huko kwasiku buku jero
 
Ungekua unaweza kukaa pemebezoni mwaka mjini ningekuunganisha na jamaa yangu anaishi nyumba nzima mwenyewe (ukonga)
...mfungwa hachagui gereza!
..akishindwa hii ofa,kuna analotafuta!
 
Kama unaweza kuishi majohe mbele ya chuo cha Kampala, nipm nitakupa gheto lina kitanda na baadhi ya vitu, Nakupa chumba utakaa bure hadi mwezi wa pili kisha utaanza kukilipia na hivyo vitu nitavichukua nitakapokuwa navihitaji.
 
Mkuu kama upo vizuri 6X6 na una mwili safi wa mazoezi ni P.M kuna majimama tajiri hapa mjini yanakulea bure tuu.. Njoo PM tuyajenge 😵😵
 
Watu mnajifanya mnanyodo sana angelikua mdada mngemchangamkia fasta hata hotel mngempangia...acheni hashuo mtu ameomba msaada huwezi kumstiri nyamaza tu
Ndio si anacho cha kufurahisha mwanaume
Hata wewe ukienda sehemu ambazo wanawake wanahudumia inadhani kati yako na me nani atachangamkiwa na kuhudumiwa mapema wakati mmefika wakati mmoja?
 
Sio kila mwanaadamu ana akili za kipuuzi namna hiyo,
Ndio feva za watu, ukiona mwanamke kasema shida wakamiminika wa kumsaidia na hayo yapo....ajikaze kijana apange hata geto lisilo na umeme ilmradi kwake au apate mtu mwenye nyumba wazi akae kama anailinda ila kitafuta mtu ashee kodi inaleta ukakasi, tena na ana kazi sio uamuzi sahihi
 
Ndio feva za watu, ukiona mwanamke kasema shida wakamiminika wa kumsaidia na hayo yapo....ajikaze kijana apange hata geto lisilo na umeme ilmradi kwake au apate mtu mwenye nyumba wazi akae kama anailinda ila kitafuta mtu ashee kodi inaleta ukakasi, tena ana ana kasi sio uamuzi sahihi
Sawaa
 
Hi all,

Natafuta kijana mwenzangu mwenye chumba / geto tushee. Mpango wa kupanga mwenyewe ninao baada ya mwezi 1 au 2.
Uwezo wangu kwa sasa ni kulipa kodi na gharama zingine kwa wiki au mwezi, bado sina Kodi ya miezi 3 au 6.

Ndio nimeanza kazi so hata mkopo bado sijaqualify. So kama una geto lako hapa Dar basi nikaribishe tusaidiane maisha. Eneo lililo karibu na city centre/mjini k.v. Ilala, magomeni, chang'ombe itapendeza.

Njoo PM
Mkuu sibishi kama maisha ya Ghetto yapo, wengi tumepita huko. Lakini arrangements kama hizi huwa tunafanya na masela tulioshibana na kujuana kwa undani sana (toka school, vijijini mikoani huko n.k). Sio from nowhere unataka kuishi ghetto na mtu humjui hata kidogo, huko ni kuweka rehani marinda na inaleta shaka kidogo kwenye lengo lako mahsusi.
 
Ndio feva za watu, ukiona mwanamke kasema shida wakamiminika wa kumsaidia na hayo yapo....ajikaze kijana apange hata geto lisilo na umeme ilmradi kwake au apate mtu mwenye nyumba wazi akae kama anailinda ila kitafuta mtu ashee kodi inaleta ukakasi, tena ana ana kasi sio uamuzi sahihi
Ndio maaana nakupendaga saaaaanaaaa[emoji7] [emoji7] [emoji7] [emoji8] [emoji8] [emoji8]
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom