Wakuu habari,
Nimehamia Musoma hivi karibuni kwa ajili ya kazi na nimekuwa nikisumbuka kupata chumba kizuri cha kukaa (living room) kwa malipo ya kila mwezi.
Vigezo ninavyopendelea:
Kama kuna mtu anafahamu chumba kinachopatikana, dalali au mwenye connection yoyote, tafadhali tuwasiliane hapa au kwa DM.
Nitashukuru sana kwa msaada wowote.
Ahsanteni.
Nimehamia Musoma hivi karibuni kwa ajili ya kazi na nimekuwa nikisumbuka kupata chumba kizuri cha kukaa (living room) kwa malipo ya kila mwezi.
Vigezo ninavyopendelea:
- Iwe maeneo ya mjini (karibu na barabara kuu)
- Mahali pasafi na salama
- Bei isiyo juu sana kwa malipo ya kila mwezi
- Inaweza kuwa na fanicha au bila fanicha
Kama kuna mtu anafahamu chumba kinachopatikana, dalali au mwenye connection yoyote, tafadhali tuwasiliane hapa au kwa DM.
Nitashukuru sana kwa msaada wowote.
Ahsanteni.