Natafuta banda au nyumba ya kununua

Gsana

JF-Expert Member
Aug 28, 2010
4,383
1,321
Kama title ilivo apo juu.

Naileta jukwaa Ili kwa kuwa hapa jf mimi ni mdau mkubwa wa jukwaa Ili zaidi ya majukwaa mengine yote.

Kwa wale wote waliohamia mikoani kama dodoma ivo kuhitaji kuachia Nyumba walikotoka (DSM)

Nahitaji kupata Nyumba yenye hati kwa kuwa tayari nishaumizwa na wajanja wa mjini.
Nyumba iwe DSM, muuzaji asiwe dalali yani awe mnufaika wa pesa ya mauzo /mmiliki. Iwe kwenye maeneo yanayofikika kwa gari. Sehemu yoyote DSM pasiwe kigamboni. Iwe inafaa kwa kuishi, kama haijaisha ila iko chini ya OFA yangu pia inazungumzika.

Sharti kuu iwe na hati. NITUMIE pm number zako na details nikutafute.
OFA YANGU HAIZIDI MILIONI60 KULINGANA NA HALI YA MALI. IWE NA HATI.
 
Muda si mrefu tukikupa namba zetu. Tutaanza kupokea meseji za mjukuu wangu yule mganga wa kuongeza mvuto kwenye biashara na mapenzi amerudi kutoka Congo.
Au hizi.
MJUKUU WANGU SANGA MUDA WA KUBADILISHA NDAGU UMEFIKA UJE KABRA YA SIKU 7 ALAKA UJE NA ILECHUPA YA JINI NI MIMI MUZEE WAPEMBE WA SUMBA WANGA.
Washenzi sana nyie. Sijui tcra wameloweka pumbu zao tu pale ofisini.
Namba za halotel hizi
 
Nauza mabanda ya kuku na mbuzi kama unataka kununua tuwasiliane au ni pm. Unaweza kuyanunua na kuyatengeneza vizuri na ukaishi na familia yako
 
Muda si mrefu tukikupa namba zetu. Tutaanza kupokea meseji za mjukuu wangu yule mganga wa kuongeza mvuto kwenye biashara na mapenzi amerudi kutoka Congo.
Au hizi.
MJUKUU WANGU SANGA MUDA WA KUBADILISHA NDAGU UMEFIKA UJE KABRA YA SIKU 7 ALAKA UJE NA ILECHUPA YA JINI NI MIMI MUZEE WAPEMBE WA SUMBA WANGA.
Washenzi sana nyie. Sijui tcra wameloweka pumbu zao tu pale ofisini.
Namba za halotel hizi
kumbe ndio wanachukua namba kwa style hii mkuu?
 
Nyumba
Kama title ilivo apo juu.

Naileta jukwaa Ili kwa kuwa hapa jf mimi ni mdau mkubwa wa jukwaa Ili zaidi ya majukwaa mengine yote.

Kwa wale wote waliohamia mikoani kama dodoma ivo kuhitaji kuachia Nyumba walikotoka (DSM)

Nahitaji kupata Nyumba yenye hati kwa kuwa tayari nishaumizwa na wajanja wa mjini.
Nyumba iwe DSM, muuzaji asiwe dalali yani awe mnufaika wa pesa ya mauzo /mmiliki. Iwe kwenye maeneo yanayofikika kwa gari. Sehemu yoyote DSM pasiwe kigamboni. Iwe inafaa kwa kuishi, kama haijaisha ila iko chini ya OFA yangu pia inazungumzika.

Sharti kuu iwe na hati. NITUMIE pm number zako na details nikutafute.
OFA YANGU HAIZIDI MILIONI60 KULINGANA NA HALI YA MALI. IWE NA HATI.
IPO Kinyerezi ina vyumba vinne. Kama bado hujapata nitumie namba yako
 
Kama title ilivo apo juu.

Naileta jukwaa Ili kwa kuwa hapa jf mimi ni mdau mkubwa wa jukwaa Ili zaidi ya majukwaa mengine yote.

Kwa wale wote waliohamia mikoani kama dodoma ivo kuhitaji kuachia Nyumba walikotoka (DSM)

Nahitaji kupata Nyumba yenye hati kwa kuwa tayari nishaumizwa na wajanja wa mjini.
Nyumba iwe DSM, muuzaji asiwe dalali yani awe mnufaika wa pesa ya mauzo /mmiliki. Iwe kwenye maeneo yanayofikika kwa gari. Sehemu yoyote DSM pasiwe kigamboni. Iwe inafaa kwa kuishi, kama haijaisha ila iko chini ya OFA yangu pia inazungumzika.

Sharti kuu iwe na hati. NITUMIE pm number zako na details nikutafute.
OFA YANGU HAIZIDI MILIONI60 KULINGANA NA HALI YA MALI. IWE NA HATI.
Ipo Bunju B "dkb 10 mpaka barabara kuu ya Bagamoyo, Ina hati 4 bedroom, 11 master bedroom, ina umeme, need modern facelift
Kama title ilivo apo juu.

Naileta jukwaa Ili kwa kuwa hapa jf mimi ni mdau mkubwa wa jukwaa Ili zaidi ya majukwaa mengine yote.

Kwa wale wote waliohamia mikoani kama dodoma ivo kuhitaji kuachia Nyumba walikotoka (DSM)

Nahitaji kupata Nyumba yenye hati kwa kuwa tayari nishaumizwa na wajanja wa mjini.
Nyumba iwe DSM, muuzaji asiwe dalali yani awe mnufaika wa pesa ya mauzo /mmiliki. Iwe kwenye maeneo yanayofikika kwa gari. Sehemu yoyote DSM pasiwe kigamboni. Iwe inafaa kwa kuishi, kama haijaisha ila iko chini ya OFA yangu pia inazungumzika.

Sharti kuu iwe na hati. NITUMIE pm number zako na details nikutafute.
OFA YANGU HAIZIDI MILIONI60 KULINGANA NA HALI YA MALI. IWE NA HATI.

Ipo Bunju B , umbali wa dk 10 mpaka barabara kuu ya Dar Bagamoyo ,Ina hati, 4 rooms , 1 master , umeme upo , bomba la Maji halipo mbali na nyumba ,Inahitaji modern facelift . Good for investment ,seriously buyer just pm me ,offer in excess of 60mil
 
Kama title ilivo apo juu.

Naileta jukwaa Ili kwa kuwa hapa jf mimi ni mdau mkubwa wa jukwaa Ili zaidi ya majukwaa mengine yote.

Kwa wale wote waliohamia mikoani kama dodoma ivo kuhitaji kuachia Nyumba walikotoka (DSM)

Nahitaji kupata Nyumba yenye hati kwa kuwa tayari nishaumizwa na wajanja wa mjini.
Nyumba iwe DSM, muuzaji asiwe dalali yani awe mnufaika wa pesa ya mauzo /mmiliki. Iwe kwenye maeneo yanayofikika kwa gari. Sehemu yoyote DSM pasiwe kigamboni. Iwe inafaa kwa kuishi, kama haijaisha ila iko chini ya OFA yangu pia inazungumzika.

Sharti kuu iwe na hati. NITUMIE pm number zako na details nikutafute.
OFA YANGU HAIZIDI MILIONI60 KULINGANA NA HALI YA MALI. IWE NA HATI.
Nenda mtaa ufipa kuna nyumba Inauzwa Ukienda hapo utakutana na bango lenye namba ya simu ya wahusika .....
Nyumba nyingine kuna jamaa zangu wanaiuza Iko Nyuma ya science kijitonyama....karibia na kanisa la walutheri....

Ova
 
Muda si mrefu tukikupa namba zetu. Tutaanza kupokea meseji za mjukuu wangu yule mganga wa kuongeza mvuto kwenye biashara na mapenzi amerudi kutoka Congo.
Au hizi.
MJUKUU WANGU SANGA MUDA WA KUBADILISHA NDAGU UMEFIKA UJE KABRA YA SIKU 7 ALAKA UJE NA ILECHUPA YA JINI NI MIMI MUZEE WAPEMBE WA SUMBA WANGA.
Washenzi sana nyie. Sijui tcra wameloweka pumbu zao tu pale ofisini.
Namba za halotel hizi
Hahaha nmecheka sanaa mkuu kumbe ndo wanavopataga namba za watu kwa staili hii
 
Nenda mtaa ufipa kuna nyumba Inauzwa Ukienda hapo utakutana na bango lenye namba ya simu ya wahusika .....
Nyumba nyingine kuna jamaa zangu wanaiuza Iko Nyuma ya science kijitonyama....karibia na kanisa la walutheri....

Ova
We jamaa nitafutie landrover TDI pick up 200, bei isizidi 10M, napatikana Arusha.
 
Iko moja ina hati ya jamaa yangu, Yombo-Lumo, ni apartments ziko 5... Bei imezidi kidogo 60!
If interested pm.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom