Nenda mtaa ufipa kuna nyumba Inauzwa Ukienda hapo utakutana na bango lenye namba ya simu ya wahusika .....
Nyumba nyingine kuna jamaa zangu wanaiuza Iko Nyuma ya science kijitonyama....karibia na kanisa la walutheri....
Ova
Hakuna utapeli wala nn!namba ni za wahusika wenyewe ....hivi ubatapeliwa vp unapotaka nunua nyumba......Tatizo la waweka matangazo wengi wanakuwa matapeli. Mpaka upate genuine ni kazi... Kama utaweza kuniunganisha na true owners ntashukuru
Ipo Bunju B "dkb 10 mpaka barabara kuu ya Bagamoyo, Ina hati 4 bedroom, 11 master bedroom, ina umeme, need modern facelift
Ipo Bunju B , umbali wa dk 10 mpaka barabara kuu ya Dar Bagamoyo ,Ina hati, 4 rooms , 1 master , umeme upo , bomba la Maji halipo mbali na nyumba ,Inahitaji modern facelift . Good for investment ,seriously buyer just pm me ,offer in excess of 60mil
Kinondoni najua nyumba zaidi ya 4Tatizo la waweka matangazo wengi wanakuwa matapeli. Mpaka upate genuine ni kazi... Kama utaweza kuniunganisha na true owners ntashukuru
Hakuna utapeli wala nn!namba ni za wahusika wenyewe ....hivi ubatapeliwa vp unapotaka nunua nyumba......
Maana nijuavyo unapotaka nunua nyumba lazima ukajiridhishe serikali za mitaa na unapeleleza kwa majirani je nyumba ni ya wahusika wenyewe.....
Kingine wakati wa biashara nyumba nyingi za urithi na wengineo watu wanaenda kumalizana mahakamani...au kwa mwanasheria wako wewe.....
Wanunuzi wengine waliyokuwa na tamaa Kutaka kukwepa garama za kumpa Wakili au kwenda kulipa mahakamani utakuta anafanya kivyake mwishowe unaishiaaa kupigwa....ila kwa Mtu mwenye uelewa huwezi mtapeli kirahisi.....
Ova
nipm namba tunaweza ongea kwa bei hiyoMkuu ikizidi 60 sitaweza budget yangu iko limited.
Kama title ilivo apo juu.
Naileta jukwaa Ili kwa kuwa hapa jf mimi ni mdau mkubwa wa jukwaa Ili zaidi ya majukwaa mengine yote.
Kwa wale wote waliohamia mikoani kama dodoma ivo kuhitaji kuachia Nyumba walikotoka (DSM)
Nahitaji kupata Nyumba yenye hati kwa kuwa tayari nishaumizwa na wajanja wa mjini.
Nyumba iwe DSM, muuzaji asiwe dalali yani awe mnufaika wa pesa ya mauzo /mmiliki. Iwe kwenye maeneo yanayofikika kwa gari. Sehemu yoyote DSM pasiwe kigamboni. Iwe inafaa kwa kuishi, kama haijaisha ila iko chini ya OFA yangu pia inazungumzika.
Sharti kuu iwe na hati. NITUMIE pm number zako na details nikutafute.
OFA YANGU HAIZIDI MILIONI60 KULINGANA NA HALI YA MALI. IWE NA HATI.
Mwenye nyumba wangu anauza nyumba yake nyingine hapa Kibaha mjini opposite west gate schools. dakika 90 kwenda mbezi Luis, nauli elf moja.
bei milioni ishirini tu
simu:0713-039875 kwa picha zaidi
Ukijisikia kununua kiwanja niambie .... nina kiwanja tegeta nakiuzaAbove 60 mil siwezi hata kubagain
Kiwanja chako unauza sh ngap kipo Tegeta eneo ganUkijisikia kununua kiwanja niambie .... nina kiwanja tegeta nakiuza
Mwenye nyumba wangu anauza nyumba yake nyingine hapa Kibaha mjini opposite west gate schools. dakika 90 kwenda mbezi Luis, nauli elf moja.
bei milioni ishirini tu
simu:0713-039875 kwa picha zaidi
Dah mkuu hao wanasumbua sana yani washikwe tu tuone hizo ndangu zaoMuda si mrefu tukikupa namba zetu. Tutaanza kupokea meseji za mjukuu wangu yule mganga wa kuongeza mvuto kwenye biashara na mapenzi amerudi kutoka Congo.
Au hizi.
MJUKUU WANGU SANGA MUDA WA KUBADILISHA NDAGU UMEFIKA UJE KABRA YA SIKU 7 ALAKA UJE NA ILECHUPA YA JINI NI MIMI MUZEE WAPEMBE WA SUMBA WANGA.
Washenzi sana nyie. Sijui tcra wameloweka pumbu zao tu pale ofisini.
Namba za halotel hizi
Kwa mahitaji ya huduma ya kuchimba. Kisima popote ulipo dar es salam na ushauri kuhusu kisima tuwasiliane 0688525288 / 0653677815Kama title ilivo apo juu.
Naileta jukwaa Ili kwa kuwa hapa jf mimi ni mdau mkubwa wa jukwaa Ili zaidi ya majukwaa mengine yote.
Kwa wale wote waliohamia mikoani kama dodoma ivo kuhitaji kuachia Nyumba walikotoka (DSM)
Nahitaji kupata Nyumba yenye hati kwa kuwa tayari nishaumizwa na wajanja wa mjini.
Nyumba iwe DSM, muuzaji asiwe dalali yani awe mnufaika wa pesa ya mauzo /mmiliki. Iwe kwenye maeneo yanayofikika kwa gari. Sehemu yoyote DSM pasiwe kigamboni. Iwe inafaa kwa kuishi, kama haijaisha ila iko chini ya OFA yangu pia inazungumzika.
Sharti kuu iwe na hati. NITUMIE pm number zako na details nikutafute.
OFA YANGU HAIZIDI MILIONI60 KULINGANA NA HALI YA MALI. IWE NA HATI.
Kipo Tegeta Nyakasangwe.... Urefu 37M upana 23M. Kimepimwa. Bei 18M karibu tuongeeKiwanja chako unauza sh ngap kipo Tegeta eneo gan
Nyakasangwe ndo wap mkuu???? Namaanisha Tegeta up m Mgeni mkuuKipo Tegeta Nyakasangwe.... Urefu 37M upana 23M. Kimepimwa. Bei 18M karibu tuongee
ndo upande gani huo? kina hati ?Kipo Tegeta Nyakasangwe.... Urefu 37M upana 23M. Kimepimwa. Bei 18M karibu tuongee
Kipo karibu na NuruNjema pre and primary school... Hapohapo karibu. Kuna njia tatu ambazo huwa nazitumia kwenda... Kuna njia ya kule Wazo Hill... Hii siipendi kwani ni ndefu unzunguuuka. Kuna ya kupitia hapa Boko Chama... Ukiwa unatokea town unakatiza kushoto then unaelekea hapo Nyakasangwe. Kwa bodaboda ni 2000 nauliNyakasangwe ndo wap mkuu???? Namaanisha Tegeta up m Mgeni mkuu