kat.ph
JF-Expert Member
- Dec 19, 2013
- 2,222
- 1,679
Kiwanja kimepimwa ila hati bado hatujakabidhiwa... Soon zitatoka! Kwahiyo kwa sasa kina document za serikali za mitaa. Kimeshapimwa na bicon zimewekwa... Ila hati tunasubiri muda wowote tunakabidhiwa.ndo upande gani huo? kina hati ?
Ukiwa hapa boko chama... Nauli ni 2000 kwa bodaboda kwenda hapo Nyakasangwe