Dah. Yule Sheikh nilikuwa simpendi kiasi kwamba huwa ninapata faraja kila nikikumbuka kuwa alishakufa..!
kiongozi mkubwa atafariki na kwa upande wa serikali itatengeneza noti ya 20,000 na noti ya 500 itakuwa sarafu haitakuwepo sarafu ya 50.
ili haya sitokee itabidi wananchi tuvae pete za rangi ya udhulungi.
RIP shehe yahaya
ah haaa haaa haa..........mkuu umenkumbusha moja ya washauri na waasisis wa awamu ya nne wa pale magogoni,mana ndo alikua mtabiri wa nchi kupitia magogoni palekiongozi mkubwa atafariki na kwa upande wa serikali itatengeneza noti ya 20,000 na noti ya 500 itakuwa sarafu haitakuwepo sarafu ya 50.
ili haya sitokee itabidi wananchi tuvae pete za rangi ya udhulungi.
RIP shehe yahaya
ah haaa haaa haa..........mkuu umenkumbusha moja ya washauri na waasisis wa awamu ya nne wa pale magogoni,mana ndo alikua mtabiri wa nchi kupitia magogoni pale
natabiri wakati umelala hutoweza kurusha thread jf.
nadhani huu mwaka utapunguza kuazima vitu vyangu.
Utabiri huuo
mi natabiri huu mwaka utakuwa unalala huku umefumba macho na ukipiga miayo lazima uache domo lako wazi.