njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,084
- 8,663
Simba leo wamefanikiwa kutoa gundu la kipuuzi kabisa, geita gold amekula goals 6-0 huku mfungaji wa goal la kwanza akiwa ni clatous chama dakika ya 7
Haijajulikana kilichosababisha simba waonyeshe mpira mzuri na wenye kasi kama walivyofanya leo na bado haiujulikani kama wata maintain kiwango hicho
Kwa matokeo hayo simba iko kileleni mwa ligi kwa points 3 na magoli sita ya kufunga huku ikiwa haijafungwa
Haijajulikana kilichosababisha simba waonyeshe mpira mzuri na wenye kasi kama walivyofanya leo na bado haiujulikani kama wata maintain kiwango hicho
Kwa matokeo hayo simba iko kileleni mwa ligi kwa points 3 na magoli sita ya kufunga huku ikiwa haijafungwa