Natabiri CHADEMA lazima isambaratike...

Natabiri CHADEMA lazima isambaratike...

Leo unasemaje?

Unataka kuniambia Polisi, Speaker, na Serikali ya CCM wanabaka Katiba kupambana na kivuli? Nilifikiri wangekuwa wamerelax sasa na kuweka nne na sio kihangaika kuliko "walioisha"

Miaka mitano siasa wamefanya CCM peke yao, wamewafunha magerezani, Wamemunua watu wao, wamefanua kila ujinga lakini bado CHADEMA waliweza kusimamisha wagombea Serikali za Mitaa kwa zaidi ya 85% ya nchi nzima.. 2014 waliweza 46% pekee!!

Ukiwa na mtindio wa ubongo ndio huwezi kuiona kweli.
 
Unataka kuniambia Polisi, Speaker, na Serikali ya CCM wanabaka Katiba kupambana na kivuli? Nilifikiri wangekuwa wamerelax sasa na kuweka nne na sio kihangaika kuliko "walioisha"

Miaka mitano siasa wamefanya CCM peke yao, wamewafunha magerezani, Wamemunua watu wao, wamefanua kila ujinga lakini bado CHADEMA waliweza kusimamisha wagombea Serikali za Mitaa kwa zaidi ya 85% ya nchi nzima.. 2014 waliweza 46% pekee!!

Ukiwa na mtindio wa ubongo ndio huwezi kuiona kweli.
Mwaka 2020 niliombwa kutoa ushauri wa uchaguzi kwa chama cha CUF wilaya fulani. Nikawaambia chama chenu kimekwisha huku Bara. Ila mjikite sana kwenye Udiwani na Ubunge. Wakanijibu kama wewe ulivyonijibu tens wakaongezea, "CUF tunajiandaa kuchukua nchi wewe unasema tumekwisha!? Hufai kuwa mshauri wetu...! Leo wako wapi?
 
Hii ramli uliosema nimepiga imetimia au haijatimia? Lowasa karud ccm na chama kimepotea sema kingine.... Manabii wapo
Tatizo hapa siyo Lowasa bali naomba urejee bandiko lako kuhusu Ben Saanane.
Naona unatumia nguvu nyingi kutusahaulisha jambo ambalo nalo litafail pia.
 
Ukweli CDM inazidi kuingia miyooni kwa wapenda haki na amani kila baya linavyo ongezeka
 
Ndugu wa Tanzania, mim nilie kuwa mwanachama wa chadema tangu nikiwa chuo na mpaka pale chadema ilipo badilika kuwa chama cha wapiga deals. Nimeona nitabiri yakuwa chama hiki kimekosa dira na ushawishi kwa vijana na hata wazee bila kuwasahau wapenda mabadiliko wote wa taifa hili.

Nimtu mjinga au mwenye fikra finyu anaweza kufikiri na kusifia eti chama bora tanzania tena cha upinzani ni chadema. Mim nasema hakuna kitu kama hicho, labda niwakumbushe yakuwa Mh Lowasa alipo ingia chadema ali ingia kwa ajenda ya siri tena siri kubwa sana.

Mchezo wa siasa ni mchezo wa hatari na wana ccm wanaujuwa kuliko mtu awaye yeyote ktk vyama vya upinzani na ndio maana cc tulio bahatika kujuwa haya tunasema chadema inaenda kumeguka kama sii vipande vitatu basi viwili. Mfano mzuri ni team Lissu ndan ya hiki chama na team Mbowe.

Uzuri nikwamba mbowe ni kijana mdogo tangu darasani mpaka kwenye siasa hawezi kumfikia Lissu hata chembe, nguvu ya Mbowe ni uchama ulio jikita ktk pesa na famil histor. Hiki sio chama cha watu ni chama cha mtu ndani ya Watu, nahili nijambo la hatari limekuja kujulikana.

Mh Lowasa hana mapenz yoyote ya hiki chama ila nataka kuwahakikishia huyu mzee angetaman kuona hiki chama ambacho kilitumika kumchafuwa taifa lote siku moja kinakuwa either chama chake au anakigawa kuwa vipande wote wakose. Nahii ndio siri nzito inaendelea. Usione thread zimeandikwa eti ccm wamepagawa kwa uteuz wa Vicent kuwa katibu mkuu. Huo ni uongo mkubwa nikinyume chake maana ccm ni majemendari wasiasa na wanajuwa mahal pakushika kwa kila chama. Kwa kumalizia chadema lazima isambaratike bila shaka ktk wakat ambao mim na wewe hatuto amini.

Mara nyingi mimi sipendi ubishi ila napenda kusema kile kinaweza kutokea wakati wowote ule kuanzia sasa, hili taifa lina historia nzito amabayo mimi na wewe huwenda hatujawahi kuisikia ama kuiona ktk fikra zetu au macho yetu, ikumbukwe kuwa hakuba chama chochote duniani kisicho kuwa na dira ambayo inakiongoza chama hicho kufikia malengo. Watanzania wote walikipenda chadema kwa umahiri wake wakutumbua mafisadi na isitoshe umahiri na ugwaji mkono wa chama hiki ilikuwa kuzima mafisadi ambao walikuwa ndani ya ccm. Lakini ktk hali yakushituwa mara chadema akazima hija ya ufisadi nakuwapaka mafisadi mafuta ya marashi mazuri, ccm wakaisoma namba wakabadilika na sasa chadema anapumulia machine maana icu karibia machine zizimwe mzimaji anahesabu tu ikifika kumi atazima yule mgonjwa aliopo icu lazima atangazwe marehemu.

Dhambi zote waweza kusamehewa ila sio usaliti usaliti ni dhambi inayo angusha mataifa, vyama na watu, chadema imewasaliti wanjonge na wafuja jasho wa taifa hili,chadema imesaliti marehem walio kufa ktk uwana harakati laity wangefufuka leo wangetembea taifa lote kuitukana chadema tena pasipo kutumia gari ila miguu.

usaliti ni dhambi mbaya kuliko zote chadema lazima iwe historia
Kongole kwako#TumainiEl, utabiri wako umetimia. Wameshasambaratika tayari

Sent using Jamii Forums mobile app
 
pweza mtabiri kombe la dunia 2010 pale south africa alichemka vibaya sna ktk utabir wake naona ushaanza kuwa pweza mtabir muda si mrefu utapondwa na mawe had kufa kama pweza mtabur kwa kuchemka
Watu wanaona mbali jomba
 
Watu wanaona mbali jomba
Ngumu sana chadema kusambaratika kama serikali waliwekeza nguv kule hii miaka mi5 na bado wanahaha nani wa kuweza hayo? Hadi spika saiv anafanya hiyo kazi kachukukuliwa had mbatia afanye hiyo kazi bado kwao ni ngumu chadema kimejengwa muda mrefu sana wameondoka watu muhimu sana lakin taasisi iko palepale.
 
Inawezekana, kwani uliwahi kutabiri ukoo wenu mtakuwa makapuku kwa vizazi vyote na mko hivyo hadi sasa na mtaendelea kuwa hivyo. tatizo sio utabiri wako bali tatizo la ukoo wenu ni kukumbatia uvivu, majungu na umbea badala ya kazi.
 
Chadema ipo na itaendelea kuwepo daima,
Kuondoka kwa Changudoa aliyekubuhu na masikini wenye njaa kali ,wanaowaza kushiba Leo tu bila kujua kesho yao itakuwaje,
Hicho si kigezo cha chama kufa, unapozungumzia Chadema unazungumzia Tanzania, chama kimeshikiliwa na wanachama ambao ni wananchi, na ndio mana kinashambuliwa na serikali,bunge mpaka usalama
Sasa basi ukiona mtu mmoja anashambuliwa na kundi kubwa, ujue huyo ni tishio na ataendelea kuwa tishio,Chadema inaungwa mkono sana tu tena mpaka na wana CCM ,ukitaka kuamini hilo serikali iruhusu mkutano hata mmoja tu ndio utaamini maneno yangu,
"Anayelazimisha kupendwa ni tofauti na anayependwa"
 
Ndugu wa Tanzania, mim nilie kuwa mwanachama wa chadema tangu nikiwa chuo na mpaka pale chadema ilipo badilika kuwa chama cha wapiga deals. Nimeona nitabiri yakuwa chama hiki kimekosa dira na ushawishi kwa vijana na hata wazee bila kuwasahau wapenda mabadiliko wote wa taifa hili.

Nimtu mjinga au mwenye fikra finyu anaweza kufikiri na kusifia eti chama bora tanzania tena cha upinzani ni chadema. Mim nasema hakuna kitu kama hicho, labda niwakumbushe yakuwa Mh Lowasa alipo ingia chadema ali ingia kwa ajenda ya siri tena siri kubwa sana.

Mchezo wa siasa ni mchezo wa hatari na wana ccm wanaujuwa kuliko mtu awaye yeyote ktk vyama vya upinzani na ndio maana cc tulio bahatika kujuwa haya tunasema chadema inaenda kumeguka kama sii vipande vitatu basi viwili. Mfano mzuri ni team Lissu ndan ya hiki chama na team Mbowe.

Uzuri nikwamba mbowe ni kijana mdogo tangu darasani mpaka kwenye siasa hawezi kumfikia Lissu hata chembe, nguvu ya Mbowe ni uchama ulio jikita ktk pesa na famil histor. Hiki sio chama cha watu ni chama cha mtu ndani ya Watu, nahili nijambo la hatari limekuja kujulikana.

Mh Lowasa hana mapenz yoyote ya hiki chama ila nataka kuwahakikishia huyu mzee angetaman kuona hiki chama ambacho kilitumika kumchafuwa taifa lote siku moja kinakuwa either chama chake au anakigawa kuwa vipande wote wakose. Nahii ndio siri nzito inaendelea. Usione thread zimeandikwa eti ccm wamepagawa kwa uteuz wa Vicent kuwa katibu mkuu. Huo ni uongo mkubwa nikinyume chake maana ccm ni majemendari wasiasa na wanajuwa mahal pakushika kwa kila chama. Kwa kumalizia chadema lazima isambaratike bila shaka ktk wakat ambao mim na wewe hatuto amini.

Mara nyingi mimi sipendi ubishi ila napenda kusema kile kinaweza kutokea wakati wowote ule kuanzia sasa, hili taifa lina historia nzito amabayo mimi na wewe huwenda hatujawahi kuisikia ama kuiona ktk fikra zetu au macho yetu, ikumbukwe kuwa hakuba chama chochote duniani kisicho kuwa na dira ambayo inakiongoza chama hicho kufikia malengo. Watanzania wote walikipenda chadema kwa umahiri wake wakutumbua mafisadi na isitoshe umahiri na ugwaji mkono wa chama hiki ilikuwa kuzima mafisadi ambao walikuwa ndani ya ccm. Lakini ktk hali yakushituwa mara chadema akazima hija ya ufisadi nakuwapaka mafisadi mafuta ya marashi mazuri, ccm wakaisoma namba wakabadilika na sasa chadema anapumulia machine maana icu karibia machine zizimwe mzimaji anahesabu tu ikifika kumi atazima yule mgonjwa aliopo icu lazima atangazwe marehemu.

Dhambi zote waweza kusamehewa ila sio usaliti usaliti ni dhambi inayo angusha mataifa, vyama na watu, chadema imewasaliti wanjonge na wafuja jasho wa taifa hili,chadema imesaliti marehem walio kufa ktk uwana harakati laity wangefufuka leo wangetembea taifa lote kuitukana chadema tena pasipo kutumia gari ila miguu.

usaliti ni dhambi mbaya kuliko zote chadema lazima iwe historia

Then ww unapata faida gani
 
Kama mnapima chama kwa kuondoka wabunge au madiwani wasio msimamo mnajidanganya. Chadema inaweza kuwa imetingishwa lakini haijayumba iko imara na inakubalika sana miongoni mwa watumishi wa umma, wastaafu, wafanyabiashara, wanafunzi, vijana wasio na ajira pamoja na elimu zao, wakulima walio dhulumiwa na wote wenye akili timamu.
Watu hawajui tuu ni kwa nini CCM iliamua kuvuruga uchaguzi wa serikali za mitaa, ukweli utafiti wao ulionyesha CCM haikuwa na uwezo wa kupata hata 30% ya mitaa, vijiji na vitongoji hivyo wakaamua kuengua 90% ya wagombea wa upinzani kibabe. Hapo bado utasema Chadema imekufa? Kisa? Wabunge waoga na wenye tamaa kuondoka?
 
Kutimua wabunge ndio chama kufa? Chama bado kina uongozi wote wakitaifa na kanda hadi vitongoji sasa kimekufaje?

Kuna wakati walitumuliwa kina shonza kma 8 hivi mbona chama hakikufa ndio sembuse wabunge 4 tu?

Chama kinakufa kikikosa wanachama sio viongozi wanne
Uliona wapi biashara ya daladala ikafa kwa kukosa abiria,akishuka mtu upanda mtu.Au timu ya mpira kufa kwa kuondokewa na wachezaji? Upinzani una hazina kubwa Sana ya underground wengi upcoming ambao ni vichwa maelfu kwa maelfu cheki mfano kina Abdul Nondo kwa uchache,anaedhani anaedhani atawamaliza kwa kuwanunua aandae tu bajeti atachoka mwenyewe
 
Ndugu wa Tanzania, mim nilie kuwa mwanachama wa chadema tangu nikiwa chuo na mpaka pale chadema ilipo badilika kuwa chama cha wapiga deals. Nimeona nitabiri yakuwa chama hiki kimekosa dira na ushawishi kwa vijana na hata wazee bila kuwasahau wapenda mabadiliko wote wa taifa hili.

Nimtu mjinga au mwenye fikra finyu anaweza kufikiri na kusifia eti chama bora tanzania tena cha upinzani ni chadema. Mim nasema hakuna kitu kama hicho, labda niwakumbushe yakuwa Mh Lowasa alipo ingia chadema ali ingia kwa ajenda ya siri tena siri kubwa sana.

Mchezo wa siasa ni mchezo wa hatari na wana ccm wanaujuwa kuliko mtu awaye yeyote ktk vyama vya upinzani na ndio maana cc tulio bahatika kujuwa haya tunasema chadema inaenda kumeguka kama sii vipande vitatu basi viwili. Mfano mzuri ni team Lissu ndan ya hiki chama na team Mbowe.

Uzuri nikwamba mbowe ni kijana mdogo tangu darasani mpaka kwenye siasa hawezi kumfikia Lissu hata chembe, nguvu ya Mbowe ni uchama ulio jikita ktk pesa na famil histor. Hiki sio chama cha watu ni chama cha mtu ndani ya Watu, nahili nijambo la hatari limekuja kujulikana.

Mh Lowasa hana mapenz yoyote ya hiki chama ila nataka kuwahakikishia huyu mzee angetaman kuona hiki chama ambacho kilitumika kumchafuwa taifa lote siku moja kinakuwa either chama chake au anakigawa kuwa vipande wote wakose. Nahii ndio siri nzito inaendelea. Usione thread zimeandikwa eti ccm wamepagawa kwa uteuz wa Vicent kuwa katibu mkuu. Huo ni uongo mkubwa nikinyume chake maana ccm ni majemendari wasiasa na wanajuwa mahal pakushika kwa kila chama. Kwa kumalizia chadema lazima isambaratike bila shaka ktk wakat ambao mim na wewe hatuto amini.

Mara nyingi mimi sipendi ubishi ila napenda kusema kile kinaweza kutokea wakati wowote ule kuanzia sasa, hili taifa lina historia nzito amabayo mimi na wewe huwenda hatujawahi kuisikia ama kuiona ktk fikra zetu au macho yetu, ikumbukwe kuwa hakuba chama chochote duniani kisicho kuwa na dira ambayo inakiongoza chama hicho kufikia malengo. Watanzania wote walikipenda chadema kwa umahiri wake wakutumbua mafisadi na isitoshe umahiri na ugwaji mkono wa chama hiki ilikuwa kuzima mafisadi ambao walikuwa ndani ya ccm. Lakini ktk hali yakushituwa mara chadema akazima hija ya ufisadi nakuwapaka mafisadi mafuta ya marashi mazuri, ccm wakaisoma namba wakabadilika na sasa chadema anapumulia machine maana icu karibia machine zizimwe mzimaji anahesabu tu ikifika kumi atazima yule mgonjwa aliopo icu lazima atangazwe marehemu.

Dhambi zote waweza kusamehewa ila sio usaliti usaliti ni dhambi inayo angusha mataifa, vyama na watu, chadema imewasaliti wanjonge na wafuja jasho wa taifa hili,chadema imesaliti marehem walio kufa ktk uwana harakati laity wangefufuka leo wangetembea taifa lote kuitukana chadema tena pasipo kutumia gari ila miguu.

usaliti ni dhambi mbaya kuliko zote chadema lazima iwe historia
Vipi utabiri lini utatimia?
 
HATA VYAMA VYOTE VYA UPINZANI VIKIFA NCHINI,KUINGIA CCM NI BORA KUPIGWA RISASI NIFE KULIKO KUWA NDANI YA CHAMA KINACHOSABABISHA WATZ KUWA WAKIMBIZI NCHINI MWAO,REJEA LOLIONDO 2008 MIEZI YA JULY HADI SEPT HAPO.
VIKIFA VYOTE NITAANZISHA CHA KWANGU,HATA KAMA NITAKUWA MIMI MWENYEWE,MKE NA WATOTO WANGU KULIKO CCM
.
Anaewaza atauwa upinzani akapimwe akili atakufa yeye upinzani upo Hadi mwisho
 
Maneno yametimia au hayajatimia?
Lete ushahidi, uongozi bado imara wameshindwa polisi, DPP, mahakama, msajili, manunuzi, wasiojulikana,chaguzi feki,hata nccr kama karantini ya ccm nao washashindwa.
 
Lete ushahidi, uongozi bado imara wameshindwa polisi, DPP, mahakama, msajili, manunuzi, wasiojulikana,chaguzi feki,hata nccr kama karantini ya ccm nao washashindwa.
Najuwa mpaka 2020 Oct utanielewa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom