Natabiri CHADEMA lazima isambaratike...

Natabiri CHADEMA lazima isambaratike...

Ndugu wa Tanzania, mim nilie kuwa mwanachama wa chadema tangu nikiwa chuo na mpaka pale chadema ilipo badilika kuwa chama cha wapiga deals. Nimeona nitabiri yakuwa chama hiki kimekosa dira na ushawishi kwa vijana na hata wazee bila kuwasahau wapenda mabadiliko wote wa taifa hili.

Nimtu mjinga au mwenye fikra finyu anaweza kufikiri na kusifia eti chama bora tanzania tena cha upinzani ni chadema. Mim nasema hakuna kitu kama hicho, labda niwakumbushe yakuwa Mh Lowasa alipo ingia chadema ali ingia kwa ajenda ya siri tena siri kubwa sana.

Mchezo wa siasa ni mchezo wa hatari na wana ccm wanaujuwa kuliko mtu awaye yeyote ktk vyama vya upinzani na ndio maana cc tulio bahatika kujuwa haya tunasema chadema inaenda kumeguka kama sii vipande vitatu basi viwili. Mfano mzuri ni team Lissu ndan ya hiki chama na team Mbowe.

Uzuri nikwamba mbowe ni kijana mdogo tangu darasani mpaka kwenye siasa hawezi kumfikia Lissu hata chembe, nguvu ya Mbowe ni uchama ulio jikita ktk pesa na famil histor. Hiki sio chama cha watu ni chama cha mtu ndani ya Watu, nahili nijambo la hatari limekuja kujulikana.

Mh Lowasa hana mapenz yoyote ya hiki chama ila nataka kuwahakikishia huyu mzee angetaman kuona hiki chama ambacho kilitumika kumchafuwa taifa lote siku moja kinakuwa either chama chake au anakigawa kuwa vipande wote wakose. Nahii ndio siri nzito inaendelea. Usione thread zimeandikwa eti ccm wamepagawa kwa uteuz wa Vicent kuwa katibu mkuu. Huo ni uongo mkubwa nikinyume chake maana ccm ni majemendari wasiasa na wanajuwa mahal pakushika kwa kila chama. Kwa kumalizia chadema lazima isambaratike bila shaka ktk wakat ambao mim na wewe hatuto amini.

Mara nyingi mimi sipendi ubishi ila napenda kusema kile kinaweza kutokea wakati wowote ule kuanzia sasa, hili taifa lina historia nzito amabayo mimi na wewe huwenda hatujawahi kuisikia ama kuiona ktk fikra zetu au macho yetu, ikumbukwe kuwa hakuba chama chochote duniani kisicho kuwa na dira ambayo inakiongoza chama hicho kufikia malengo. Watanzania wote walikipenda chadema kwa umahiri wake wakutumbua mafisadi na isitoshe umahiri na ugwaji mkono wa chama hiki ilikuwa kuzima mafisadi ambao walikuwa ndani ya ccm. Lakini ktk hali yakushituwa mara chadema akazima hija ya ufisadi nakuwapaka mafisadi mafuta ya marashi mazuri, ccm wakaisoma namba wakabadilika na sasa chadema anapumulia machine maana icu karibia machine zizimwe mzimaji anahesabu tu ikifika kumi atazima yule mgonjwa aliopo icu lazima atangazwe marehemu.

Dhambi zote waweza kusamehewa ila sio usaliti usaliti ni dhambi inayo angusha mataifa, vyama na watu, chadema imewasaliti wanjonge na wafuja jasho wa taifa hili,chadema imesaliti marehem walio kufa ktk uwana harakati laity wangefufuka leo wangetembea taifa lote kuitukana chadema tena pasipo kutumia gari ila miguu.

usaliti ni dhambi mbaya kuliko zote chadema lazima iwe historia
Siasa ajira
 
Kama kuna mtu yoyote anamuona mleta mada yupo negative basi huenda yeye ndo akawa ni wa hovyo. Mleta mada nimependa alipofafanua kuhusu MBOWE na LISSU.

LISSU ni kiongozi haswa ktk suala zima la Upinzani na ni mtu ambaye anaweza kujenga chama. MBOWE ni mtu wa kifedha na kifamilia, hii maana yake kwa sasa Chama hakiwezi kujengwa na mtu mwenye fikra za Mbowe.

Kumbuka kipindi cha nyuma waliosaidia saana kujenga hiki chama ni akina Slaa, Lissu, Kabwe n.k ila Mbowe aliplay part ndogo na aliweza kuonekana sababu yeye ni Mwenyekiti ila akili ya uendeshwaji chama kwa maslahi ya wanyonge haipo.

Slaa kaondoka, mpaka sasa pengo lipo. Kabwe kaondoka walau kuna watu wakajitahidi kuziba lakini kwa kutetea hoja bado nafasi ya Kabwe haijazibwa. Amepigwa Lissu risasi, upinzani ukafa totally, wenye jicho la tatu wameona hili.

Watu mmemponda saana mleta mada, hii ni jinsi gani JF imekosa watu makini siku hizi, naomba niwakumbushe pia, wakati LOWASSA anaingia CHADEMA kuna watu walianzisha Thread humu ndani wakipinga uamuzi huu wa CHADEMA na wakasema tumecheza karata mbovu, mwenye ule uzi anaweza akauweka humu afufue.

Naungana na Mleta Mada, hakuna wakati ambao CHADEMA itapoteza viti vingi kama Uchaguzi huu 2020. Walau angekuwepo LISSU mzima mpaka leo angeweza kuonesha moyo wa kupambana na chama dola ila angalia leo hii hakuna tena mwenye guts za kupambana na CCM kama LISSU.
 
Ndugu wa Tanzania, mim nilie kuwa mwanachama wa chadema tangu nikiwa chuo na mpaka pale chadema ilipo badilika kuwa chama cha wapiga deals. Nimeona nitabiri yakuwa chama hiki kimekosa dira na ushawishi kwa vijana na hata wazee bila kuwasahau wapenda mabadiliko wote wa taifa hili.

Nimtu mjinga au mwenye fikra finyu anaweza kufikiri na kusifia eti chama bora tanzania tena cha upinzani ni chadema. Mim nasema hakuna kitu kama hicho, labda niwakumbushe yakuwa Mh Lowasa alipo ingia chadema ali ingia kwa ajenda ya siri tena siri kubwa sana.

Mchezo wa siasa ni mchezo wa hatari na wana ccm wanaujuwa kuliko mtu awaye yeyote ktk vyama vya upinzani na ndio maana cc tulio bahatika kujuwa haya tunasema chadema inaenda kumeguka kama sii vipande vitatu basi viwili. Mfano mzuri ni team Lissu ndan ya hiki chama na team Mbowe.

Uzuri nikwamba mbowe ni kijana mdogo tangu darasani mpaka kwenye siasa hawezi kumfikia Lissu hata chembe, nguvu ya Mbowe ni uchama ulio jikita ktk pesa na famil histor. Hiki sio chama cha watu ni chama cha mtu ndani ya Watu, nahili nijambo la hatari limekuja kujulikana.

Mh Lowasa hana mapenz yoyote ya hiki chama ila nataka kuwahakikishia huyu mzee angetaman kuona hiki chama ambacho kilitumika kumchafuwa taifa lote siku moja kinakuwa either chama chake au anakigawa kuwa vipande wote wakose. Nahii ndio siri nzito inaendelea. Usione thread zimeandikwa eti ccm wamepagawa kwa uteuz wa Vicent kuwa katibu mkuu. Huo ni uongo mkubwa nikinyume chake maana ccm ni majemendari wasiasa na wanajuwa mahal pakushika kwa kila chama. Kwa kumalizia chadema lazima isambaratike bila shaka ktk wakat ambao mim na wewe hatuto amini.

Mara nyingi mimi sipendi ubishi ila napenda kusema kile kinaweza kutokea wakati wowote ule kuanzia sasa, hili taifa lina historia nzito amabayo mimi na wewe huwenda hatujawahi kuisikia ama kuiona ktk fikra zetu au macho yetu, ikumbukwe kuwa hakuba chama chochote duniani kisicho kuwa na dira ambayo inakiongoza chama hicho kufikia malengo. Watanzania wote walikipenda chadema kwa umahiri wake wakutumbua mafisadi na isitoshe umahiri na ugwaji mkono wa chama hiki ilikuwa kuzima mafisadi ambao walikuwa ndani ya ccm. Lakini ktk hali yakushituwa mara chadema akazima hija ya ufisadi nakuwapaka mafisadi mafuta ya marashi mazuri, ccm wakaisoma namba wakabadilika na sasa chadema anapumulia machine maana icu karibia machine zizimwe mzimaji anahesabu tu ikifika kumi atazima yule mgonjwa aliopo icu lazima atangazwe marehemu.

Dhambi zote waweza kusamehewa ila sio usaliti usaliti ni dhambi inayo angusha mataifa, vyama na watu, chadema imewasaliti wanjonge na wafuja jasho wa taifa hili,chadema imesaliti marehem walio kufa ktk uwana harakati laity wangefufuka leo wangetembea taifa lote kuitukana chadema tena pasipo kutumia gari ila miguu.

usaliti ni dhambi mbaya kuliko zote chadema lazima iwe historia
Siamini kama ulifika chuo kwa akili zako ili kujichunguza rudia mitihani yako yote tangu ukiwa darasa la saba mpaka chuo ukipata jibu utakuwa umeelewa uwezo wako
 
Unataka kuniambia Polisi, Speaker, na Serikali ya CCM wanabaka Katiba kupambana na kivuli? Nilifikiri wangekuwa wamerelax sasa na kuweka nne na sio kihangaika kuliko "walioisha"

Miaka mitano siasa wamefanya CCM peke yao, wamewafunha magerezani, Wamemunua watu wao, wamefanua kila ujinga lakini bado CHADEMA waliweza kusimamisha wagombea Serikali za Mitaa kwa zaidi ya 85% ya nchi nzima.. 2014 waliweza 46% pekee!!

Ukiwa na mtindio wa ubongo ndio huwezi kuiona kweli.
Hao ndio Wadanganyika mkuu ambao hawawezi ona, wao wanajifurahisha tu.. Mimi huwa najiuliza siku zote kama CHADEMA imekufa nguvu nyingi zinazotumika kuwazuia kufanya mikutano, matusi ya subwoofer, kuwatumia vibaya polisi katika kuwazuia hawa ni vya nini..
 
Ndugu wa Tanzania, mim nilie kuwa mwanachama wa chadema tangu nikiwa chuo na mpaka pale chadema ilipo badilika kuwa chama cha wapiga deals. Nimeona nitabiri yakuwa chama hiki kimekosa dira na ushawishi kwa vijana na hata wazee bila kuwasahau wapenda mabadiliko wote wa taifa hili.

Nimtu mjinga au mwenye fikra finyu anaweza kufikiri na kusifia eti chama bora tanzania tena cha upinzani ni chadema. Mim nasema hakuna kitu kama hicho, labda niwakumbushe yakuwa Mh Lowasa alipo ingia chadema ali ingia kwa ajenda ya siri tena siri kubwa sana.

Mchezo wa siasa ni mchezo wa hatari na wana ccm wanaujuwa kuliko mtu awaye yeyote ktk vyama vya upinzani na ndio maana cc tulio bahatika kujuwa haya tunasema chadema inaenda kumeguka kama sii vipande vitatu basi viwili. Mfano mzuri ni team Lissu ndan ya hiki chama na team Mbowe.

Uzuri nikwamba mbowe ni kijana mdogo tangu darasani mpaka kwenye siasa hawezi kumfikia Lissu hata chembe, nguvu ya Mbowe ni uchama ulio jikita ktk pesa na famil histor. Hiki sio chama cha watu ni chama cha mtu ndani ya Watu, nahili nijambo la hatari limekuja kujulikana.

Mh Lowasa hana mapenz yoyote ya hiki chama ila nataka kuwahakikishia huyu mzee angetaman kuona hiki chama ambacho kilitumika kumchafuwa taifa lote siku moja kinakuwa either chama chake au anakigawa kuwa vipande wote wakose. Nahii ndio siri nzito inaendelea. Usione thread zimeandikwa eti ccm wamepagawa kwa uteuz wa Vicent kuwa katibu mkuu. Huo ni uongo mkubwa nikinyume chake maana ccm ni majemendari wasiasa na wanajuwa mahal pakushika kwa kila chama. Kwa kumalizia chadema lazima isambaratike bila shaka ktk wakat ambao mim na wewe hatuto amini.

Mara nyingi mimi sipendi ubishi ila napenda kusema kile kinaweza kutokea wakati wowote ule kuanzia sasa, hili taifa lina historia nzito amabayo mimi na wewe huwenda hatujawahi kuisikia ama kuiona ktk fikra zetu au macho yetu, ikumbukwe kuwa hakuba chama chochote duniani kisicho kuwa na dira ambayo inakiongoza chama hicho kufikia malengo. Watanzania wote walikipenda chadema kwa umahiri wake wakutumbua mafisadi na isitoshe umahiri na ugwaji mkono wa chama hiki ilikuwa kuzima mafisadi ambao walikuwa ndani ya ccm. Lakini ktk hali yakushituwa mara chadema akazima hija ya ufisadi nakuwapaka mafisadi mafuta ya marashi mazuri, ccm wakaisoma namba wakabadilika na sasa chadema anapumulia machine maana icu karibia machine zizimwe mzimaji anahesabu tu ikifika kumi atazima yule mgonjwa aliopo icu lazima atangazwe marehemu.

Dhambi zote waweza kusamehewa ila sio usaliti usaliti ni dhambi inayo angusha mataifa, vyama na watu, chadema imewasaliti wanjonge na wafuja jasho wa taifa hili,chadema imesaliti marehem walio kufa ktk uwana harakati laity wangefufuka leo wangetembea taifa lote kuitukana chadema tena pasipo kutumia gari ila miguu.

usaliti ni dhambi mbaya kuliko zote chadema lazima iwe historia

Naona ulioteshwa na mizimu....!!!
 
Mbatia bahati haiji Mara mbili kula hela za ccm hizo ni Kodi zetu.Anaewaza atauwa upinzani kwa kuanzisha upinzani anaukimbiza upepo.
Badala ya kupambana kuuwa umasikini unapambana kuuwa upinzani then lawama anatupiwa beberu eti Vita vya kiuchumi
 
Naomba huu uzi kila mmoja asubscribe mpaka pale tutakapopata majibu november.

Chadema tumejitoa ufahamu ila ni ukweli mchungu kuwa hakuna wakati tutakuja kuanguka ktk uchaguzi kama mwaka 2020.

Chama hakina tena muelekeo kama zamani.
 
Ndugu wa Tanzania, mim nilie kuwa mwanachama wa chadema tangu nikiwa chuo na mpaka pale chadema ilipo badilika kuwa chama cha wapiga deals. Nimeona nitabiri yakuwa chama hiki kimekosa dira na ushawishi kwa vijana na hata wazee bila kuwasahau wapenda mabadiliko wote wa taifa hili.

Nimtu mjinga au mwenye fikra finyu anaweza kufikiri na kusifia eti chama bora tanzania tena cha upinzani ni chadema. Mim nasema hakuna kitu kama hicho, labda niwakumbushe yakuwa Mh Lowasa alipo ingia chadema ali ingia kwa ajenda ya siri tena siri kubwa sana.

Mchezo wa siasa ni mchezo wa hatari na wana ccm wanaujuwa kuliko mtu awaye yeyote ktk vyama vya upinzani na ndio maana cc tulio bahatika kujuwa haya tunasema chadema inaenda kumeguka kama sii vipande vitatu basi viwili. Mfano mzuri ni team Lissu ndan ya hiki chama na team Mbowe.

Uzuri nikwamba mbowe ni kijana mdogo tangu darasani mpaka kwenye siasa hawezi kumfikia Lissu hata chembe, nguvu ya Mbowe ni uchama ulio jikita ktk pesa na famil histor. Hiki sio chama cha watu ni chama cha mtu ndani ya Watu, nahili nijambo la hatari limekuja kujulikana.

Mh Lowasa hana mapenz yoyote ya hiki chama ila nataka kuwahakikishia huyu mzee angetaman kuona hiki chama ambacho kilitumika kumchafuwa taifa lote siku moja kinakuwa either chama chake au anakigawa kuwa vipande wote wakose. Nahii ndio siri nzito inaendelea. Usione thread zimeandikwa eti ccm wamepagawa kwa uteuz wa Vicent kuwa katibu mkuu. Huo ni uongo mkubwa nikinyume chake maana ccm ni majemendari wasiasa na wanajuwa mahal pakushika kwa kila chama. Kwa kumalizia chadema lazima isambaratike bila shaka ktk wakat ambao mim na wewe hatuto amini.

Mara nyingi mimi sipendi ubishi ila napenda kusema kile kinaweza kutokea wakati wowote ule kuanzia sasa, hili taifa lina historia nzito amabayo mimi na wewe huwenda hatujawahi kuisikia ama kuiona ktk fikra zetu au macho yetu, ikumbukwe kuwa hakuba chama chochote duniani kisicho kuwa na dira ambayo inakiongoza chama hicho kufikia malengo. Watanzania wote walikipenda chadema kwa umahiri wake wakutumbua mafisadi na isitoshe umahiri na ugwaji mkono wa chama hiki ilikuwa kuzima mafisadi ambao walikuwa ndani ya ccm. Lakini ktk hali yakushituwa mara chadema akazima hija ya ufisadi nakuwapaka mafisadi mafuta ya marashi mazuri, ccm wakaisoma namba wakabadilika na sasa chadema anapumulia machine maana icu karibia machine zizimwe mzimaji anahesabu tu ikifika kumi atazima yule mgonjwa aliopo icu lazima atangazwe marehemu.

Dhambi zote waweza kusamehewa ila sio usaliti usaliti ni dhambi inayo angusha mataifa, vyama na watu, chadema imewasaliti wanjonge na wafuja jasho wa taifa hili,chadema imesaliti marehem walio kufa ktk uwana harakati laity wangefufuka leo wangetembea taifa lote kuitukana chadema tena pasipo kutumia gari ila miguu.

usaliti ni dhambi mbaya kuliko zote chadema lazima iwe historia
Ukiona umma ushaanza kuwaona ni wabadhilifu wa fedha na wanyanyasaji wa ngono,wanajiteka nk, bc jua ndio wamekwisha hao.
 
HATA VYAMA VYOTE VYA UPINZANI VIKIFA NCHINI,KUINGIA CCM NI BORA KUPIGWA RISASI NIFE KULIKO KUWA NDANI YA CHAMA KINACHOSABABISHA WATZ KUWA WAKIMBIZI NCHINI MWAO,REJEA LOLIONDO 2008 MIEZI YA JULY HADI SEPT HAPO.
VIKIFA VYOTE NITAANZISHA CHA KWANGU,HATA KAMA NITAKUWA MIMI MWENYEWE,MKE NA WATOTO WANGU KULIKO CCM
.
Uliongea kwa hisia ila leo sijuwi kama upo au umeshajipiga risasi.. Chadema chali.
 
Wasira alitabiri ujinga kama huu! Akaukosa Ubunge!

Mtabiri Sheikh yahya naye alitabiri, Mwishowe akatangulia mbele ya haki!
Mungu ameniweka hai mpaka leo tangu 13/03/2016. Leo 2020 nadhani huwamini. Jiulize nilijuwaje while sipo ndani ya ?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom