Natabiri CHADEMA lazima isambaratike...

Natabiri CHADEMA lazima isambaratike...

Ndugu wa Tanzania, mim nilie kuwa mwanachama wa chadema tangu nikiwa chuo na mpaka pale chadema ilipo badilika kuwa chama cha wapiga deals. Nimeona nitabiri yakuwa chama hiki kimekosa dira na ushawishi kwa vijana na hata wazee bila kuwasahau wapenda mabadiliko wote wa taifa hili.

Nimtu mjinga au mwenye fikra finyu anaweza kufikiri na kusifia eti chama bora tanzania tena cha upinzani ni chadema. Mim nasema hakuna kitu kama hicho, labda niwakumbushe yakuwa Mh Lowasa alipo ingia chadema ali ingia kwa ajenda ya siri tena siri kubwa sana.

Mchezo wa siasa ni mchezo wa hatari na wana ccm wanaujuwa kuliko mtu awaye yeyote ktk vyama vya upinzani na ndio maana cc tulio bahatika kujuwa haya tunasema chadema inaenda kumeguka kama sii vipande vitatu basi viwili. Mfano mzuri ni team Lissu ndan ya hiki chama na team Mbowe.

Uzuri nikwamba mbowe ni kijana mdogo tangu darasani mpaka kwenye siasa hawezi kumfikia Lissu hata chembe, nguvu ya Mbowe ni uchama ulio jikita ktk pesa na famil histor. Hiki sio chama cha watu ni chama cha mtu ndani ya Watu, nahili nijambo la hatari limekuja kujulikana.

Mh Lowasa hana mapenz yoyote ya hiki chama ila nataka kuwahakikishia huyu mzee angetaman kuona hiki chama ambacho kilitumika kumchafuwa taifa lote siku moja kinakuwa either chama chake au anakigawa kuwa vipande wote wakose. Nahii ndio siri nzito inaendelea. Usione thread zimeandikwa eti ccm wamepagawa kwa uteuz wa Vicent kuwa katibu mkuu. Huo ni uongo mkubwa nikinyume chake maana ccm ni majemendari wasiasa na wanajuwa mahal pakushika kwa kila chama. Kwa kumalizia chadema lazima isambaratike bila shaka ktk wakat ambao mim na wewe hatuto amini.

Mara nyingi mimi sipendi ubishi ila napenda kusema kile kinaweza kutokea wakati wowote ule kuanzia sasa, hili taifa lina historia nzito amabayo mimi na wewe huwenda hatujawahi kuisikia ama kuiona ktk fikra zetu au macho yetu, ikumbukwe kuwa hakuba chama chochote duniani kisicho kuwa na dira ambayo inakiongoza chama hicho kufikia malengo. Watanzania wote walikipenda chadema kwa umahiri wake wakutumbua mafisadi na isitoshe umahiri na ugwaji mkono wa chama hiki ilikuwa kuzima mafisadi ambao walikuwa ndani ya ccm. Lakini ktk hali yakushituwa mara chadema akazima hija ya ufisadi nakuwapaka mafisadi mafuta ya marashi mazuri, ccm wakaisoma namba wakabadilika na sasa chadema anapumulia machine maana icu karibia machine zizimwe mzimaji anahesabu tu ikifika kumi atazima yule mgonjwa aliopo icu lazima atangazwe marehemu.

Dhambi zote waweza kusamehewa ila sio usaliti usaliti ni dhambi inayo angusha mataifa, vyama na watu, chadema imewasaliti wanjonge na wafuja jasho wa taifa hili,chadema imesaliti marehem walio kufa ktk uwana harakati laity wangefufuka leo wangetembea taifa lote kuitukana chadema tena pasipo kutumia gari ila miguu.

usaliti ni dhambi mbaya kuliko zote chadema lazima iwe historia
Nilifikri hayo yangetokea Wilbroad Slaa alipoondoka lakini wapi...nikasema sasa Lowassa anaondoka CDM itakwisha wapi...akaja Sumaye wapi...wakaja madiwani wapi.... wakaja wabunge wengi tu wapi.....hata akiondoka Mnyika, Mbowe wapi...Chadema ni chama cha umma ni tofauti na ATC na vyama vingine.
 
Ndugu wa Tanzania, mim nilie kuwa mwanachama wa chadema tangu nikiwa chuo na mpaka pale chadema ilipo badilika kuwa chama cha wapiga deals. Nimeona nitabiri yakuwa chama hiki kimekosa dira na ushawishi kwa vijana na hata wazee bila kuwasahau wapenda mabadiliko wote wa taifa hili.

Nimtu mjinga au mwenye fikra finyu anaweza kufikiri na kusifia eti chama bora tanzania tena cha upinzani ni chadema. Mim nasema hakuna kitu kama hicho, labda niwakumbushe yakuwa Mh Lowasa alipo ingia chadema ali ingia kwa ajenda ya siri tena siri kubwa sana.

Mchezo wa siasa ni mchezo wa hatari na wana ccm wanaujuwa kuliko mtu awaye yeyote ktk vyama vya upinzani na ndio maana cc tulio bahatika kujuwa haya tunasema chadema inaenda kumeguka kama sii vipande vitatu basi viwili. Mfano mzuri ni team Lissu ndan ya hiki chama na team Mbowe.

Uzuri nikwamba mbowe ni kijana mdogo tangu darasani mpaka kwenye siasa hawezi kumfikia Lissu hata chembe, nguvu ya Mbowe ni uchama ulio jikita ktk pesa na famil histor. Hiki sio chama cha watu ni chama cha mtu ndani ya Watu, nahili nijambo la hatari limekuja kujulikana.

Mh Lowasa hana mapenz yoyote ya hiki chama ila nataka kuwahakikishia huyu mzee angetaman kuona hiki chama ambacho kilitumika kumchafuwa taifa lote siku moja kinakuwa either chama chake au anakigawa kuwa vipande wote wakose. Nahii ndio siri nzito inaendelea. Usione thread zimeandikwa eti ccm wamepagawa kwa uteuz wa Vicent kuwa katibu mkuu. Huo ni uongo mkubwa nikinyume chake maana ccm ni majemendari wasiasa na wanajuwa mahal pakushika kwa kila chama. Kwa kumalizia chadema lazima isambaratike bila shaka ktk wakat ambao mim na wewe hatuto amini.

Mara nyingi mimi sipendi ubishi ila napenda kusema kile kinaweza kutokea wakati wowote ule kuanzia sasa, hili taifa lina historia nzito amabayo mimi na wewe huwenda hatujawahi kuisikia ama kuiona ktk fikra zetu au macho yetu, ikumbukwe kuwa hakuba chama chochote duniani kisicho kuwa na dira ambayo inakiongoza chama hicho kufikia malengo. Watanzania wote walikipenda chadema kwa umahiri wake wakutumbua mafisadi na isitoshe umahiri na ugwaji mkono wa chama hiki ilikuwa kuzima mafisadi ambao walikuwa ndani ya ccm. Lakini ktk hali yakushituwa mara chadema akazima hija ya ufisadi nakuwapaka mafisadi mafuta ya marashi mazuri, ccm wakaisoma namba wakabadilika na sasa chadema anapumulia machine maana icu karibia machine zizimwe mzimaji anahesabu tu ikifika kumi atazima yule mgonjwa aliopo icu lazima atangazwe marehemu.

Dhambi zote waweza kusamehewa ila sio usaliti usaliti ni dhambi inayo angusha mataifa, vyama na watu, chadema imewasaliti wanjonge na wafuja jasho wa taifa hili,chadema imesaliti marehem walio kufa ktk uwana harakati laity wangefufuka leo wangetembea taifa lote kuitukana chadema tena pasipo kutumia gari ila miguu.

usaliti ni dhambi mbaya kuliko zote chadema lazima iwe historia
yanatimia sasa
 
Ndugu wa Tanzania, mim nilie kuwa mwanachama wa chadema tangu nikiwa chuo na mpaka pale chadema ilipo badilika kuwa chama cha wapiga deals. Nimeona nitabiri yakuwa chama hiki kimekosa dira na ushawishi kwa vijana na hata wazee bila kuwasahau wapenda mabadiliko wote wa taifa hili.

Nimtu mjinga au mwenye fikra finyu anaweza kufikiri na kusifia eti chama bora tanzania tena cha upinzani ni chadema. Mim nasema hakuna kitu kama hicho, labda niwakumbushe yakuwa Mh Lowasa alipo ingia chadema ali ingia kwa ajenda ya siri tena siri kubwa sana.

Mchezo wa siasa ni mchezo wa hatari na wana ccm wanaujuwa kuliko mtu awaye yeyote ktk vyama vya upinzani na ndio maana cc tulio bahatika kujuwa haya tunasema chadema inaenda kumeguka kama sii vipande vitatu basi viwili. Mfano mzuri ni team Lissu ndan ya hiki chama na team Mbowe.

Uzuri nikwamba mbowe ni kijana mdogo tangu darasani mpaka kwenye siasa hawezi kumfikia Lissu hata chembe, nguvu ya Mbowe ni uchama ulio jikita ktk pesa na famil histor. Hiki sio chama cha watu ni chama cha mtu ndani ya Watu, nahili nijambo la hatari limekuja kujulikana.

Mh Lowasa hana mapenz yoyote ya hiki chama ila nataka kuwahakikishia huyu mzee angetaman kuona hiki chama ambacho kilitumika kumchafuwa taifa lote siku moja kinakuwa either chama chake au anakigawa kuwa vipande wote wakose. Nahii ndio siri nzito inaendelea. Usione thread zimeandikwa eti ccm wamepagawa kwa uteuz wa Vicent kuwa katibu mkuu. Huo ni uongo mkubwa nikinyume chake maana ccm ni majemendari wasiasa na wanajuwa mahal pakushika kwa kila chama. Kwa kumalizia chadema lazima isambaratike bila shaka ktk wakat ambao mim na wewe hatuto amini.

Mara nyingi mimi sipendi ubishi ila napenda kusema kile kinaweza kutokea wakati wowote ule kuanzia sasa, hili taifa lina historia nzito amabayo mimi na wewe huwenda hatujawahi kuisikia ama kuiona ktk fikra zetu au macho yetu, ikumbukwe kuwa hakuba chama chochote duniani kisicho kuwa na dira ambayo inakiongoza chama hicho kufikia malengo. Watanzania wote walikipenda chadema kwa umahiri wake wakutumbua mafisadi na isitoshe umahiri na ugwaji mkono wa chama hiki ilikuwa kuzima mafisadi ambao walikuwa ndani ya ccm. Lakini ktk hali yakushituwa mara chadema akazima hija ya ufisadi nakuwapaka mafisadi mafuta ya marashi mazuri, ccm wakaisoma namba wakabadilika na sasa chadema anapumulia machine maana icu karibia machine zizimwe mzimaji anahesabu tu ikifika kumi atazima yule mgonjwa aliopo icu lazima atangazwe marehemu.

Dhambi zote waweza kusamehewa ila sio usaliti usaliti ni dhambi inayo angusha mataifa, vyama na watu, chadema imewasaliti wanjonge na wafuja jasho wa taifa hili,chadema imesaliti marehem walio kufa ktk uwana harakati laity wangefufuka leo wangetembea taifa lote kuitukana chadema tena pasipo kutumia gari ila miguu.

usaliti ni dhambi mbaya kuliko zote chadema lazima iwe historia
Na wewe usikubali propaganda



Waafrica siku zote tunajizika wenyewe zito na wenzake wapo Kama wale watu ambao wanamtaka dereva wa gari Aliebeba abiria ndani ya gari ambalo liko speed so wamemsimamisha dereva hajasimama so wanaona ili wampate Basi itabidi wajitaid gar ipate ajali bila kujal abilia waliomo ndan wao wanacho jali ni dereva atoke hayo mengine Sio inshu kwao Sasa leo sukari hamna sidhan Kama magufuli anakosa sukari yeye Ila wananch wa kawaida ndio wanao angaika OGOPA PROPAGANDA ACHA UPOTOSHAJI TETEA TANZANIA NYAMAZISHA MAADUI WETu
 
Kutimua wabunge ndio chama kufa? Chama bado kina uongozi wote wakitaifa na kanda hadi vitongoji sasa kimekufaje?

Kuna wakati walitumuliwa kina shonza kma 8 hivi mbona chama hakikufa ndio sembuse wabunge 4 tu?

Chama kinakufa kikikosa wanachama sio viongozi wanne
Anayoyafanya Mbowe hayatofautiani na Mrema miaka 15 iliyopita na ndio maana NCCR ikafa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Anayoyafanya Mbowe hayatofautiani na Mrema miaka 15 iliyopita na ndio maana NCCR ikafa

Sent using Jamii Forums mobile app
Hya ya kufukuzana yalianza toka Chacha Wangwe leo miaka mingapi imepita ila CHADEMA ipo?

Waliondoka kina Zitto na Dr slaa ambao walikua influential zaidi ya wapinzani wote ila bado chama kikazoa kura Million 6 na wabunge 70!!

Humu mitandaoni kejeli nyingi ila chaguzi zikifika mnaanza zengwe cjui kuwaengua!!

Mnachoogopa ni nini haswa?
 
Ndugu wa Tanzania, mim nilie kuwa mwanachama wa chadema tangu nikiwa chuo na mpaka pale chadema ilipo badilika kuwa chama cha wapiga deals. Nimeona nitabiri yakuwa chama hiki kimekosa dira na ushawishi kwa vijana na hata wazee bila kuwasahau wapenda mabadiliko wote wa taifa hili.

Nimtu mjinga au mwenye fikra finyu anaweza kufikiri na kusifia eti chama bora tanzania tena cha upinzani ni chadema. Mim nasema hakuna kitu kama hicho, labda niwakumbushe yakuwa Mh Lowasa alipo ingia chadema ali ingia kwa ajenda ya siri tena siri kubwa sana.

Mchezo wa siasa ni mchezo wa hatari na wana ccm wanaujuwa kuliko mtu awaye yeyote ktk vyama vya upinzani na ndio maana cc tulio bahatika kujuwa haya tunasema chadema inaenda kumeguka kama sii vipande vitatu basi viwili. Mfano mzuri ni team Lissu ndan ya hiki chama na team Mbowe.

Uzuri nikwamba mbowe ni kijana mdogo tangu darasani mpaka kwenye siasa hawezi kumfikia Lissu hata chembe, nguvu ya Mbowe ni uchama ulio jikita ktk pesa na famil histor. Hiki sio chama cha watu ni chama cha mtu ndani ya Watu, nahili nijambo la hatari limekuja kujulikana.

Mh Lowasa hana mapenz yoyote ya hiki chama ila nataka kuwahakikishia huyu mzee angetaman kuona hiki chama ambacho kilitumika kumchafuwa taifa lote siku moja kinakuwa either chama chake au anakigawa kuwa vipande wote wakose. Nahii ndio siri nzito inaendelea. Usione thread zimeandikwa eti ccm wamepagawa kwa uteuz wa Vicent kuwa katibu mkuu. Huo ni uongo mkubwa nikinyume chake maana ccm ni majemendari wasiasa na wanajuwa mahal pakushika kwa kila chama. Kwa kumalizia chadema lazima isambaratike bila shaka ktk wakat ambao mim na wewe hatuto amini.

Mara nyingi mimi sipendi ubishi ila napenda kusema kile kinaweza kutokea wakati wowote ule kuanzia sasa, hili taifa lina historia nzito amabayo mimi na wewe huwenda hatujawahi kuisikia ama kuiona ktk fikra zetu au macho yetu, ikumbukwe kuwa hakuba chama chochote duniani kisicho kuwa na dira ambayo inakiongoza chama hicho kufikia malengo. Watanzania wote walikipenda chadema kwa umahiri wake wakutumbua mafisadi na isitoshe umahiri na ugwaji mkono wa chama hiki ilikuwa kuzima mafisadi ambao walikuwa ndani ya ccm. Lakini ktk hali yakushituwa mara chadema akazima hija ya ufisadi nakuwapaka mafisadi mafuta ya marashi mazuri, ccm wakaisoma namba wakabadilika na sasa chadema anapumulia machine maana icu karibia machine zizimwe mzimaji anahesabu tu ikifika kumi atazima yule mgonjwa aliopo icu lazima atangazwe marehemu.

Dhambi zote waweza kusamehewa ila sio usaliti usaliti ni dhambi inayo angusha mataifa, vyama na watu, chadema imewasaliti wanjonge na wafuja jasho wa taifa hili,chadema imesaliti marehem walio kufa ktk uwana harakati laity wangefufuka leo wangetembea taifa lote kuitukana chadema tena pasipo kutumia gari ila miguu.

usaliti ni dhambi mbaya kuliko zote chadema lazima iwe historia
Haya ni maneno ya mkosaji. Short-sighted and frustrated individual.
 
Nikiwaangalia Tundu Lissu, John Mnyika , Ben Saanane , Tumaini Makene , Joshua Nassari , Halima Mdee na wengine wa aina yao .....sidhani kama upepo utaendelea kuvuma unavyovuma ....ni dhahiri siasa za upinzani zimetekwa na zinabinafsishwa ....bado naamini hao vijana hawatoimba tu mapambio ya kubadili gia angani siku zote....
Kumbe unajua Ben Saanane yuko wapi!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom