Natabiri Bashiru kuwa Waziri Mkuu

Natabiri Bashiru kuwa Waziri Mkuu

Hata hivyo Majaliwa naye hakuchaguliwa na wananchi , alihakikisha wagombea wa vyama vingine wanatekwa ili apite bila kupingwa , baadhi ya waliotekwa waliokotwa Mkuranga .

Nadhani Majaliwa ndio PM wa kwanza duniani aliyeogopa uchaguzi wa kidemocrasia , nadhani hii ni rekodi
Tanzania ni nchi inayoamini katika Uhuru wa kutoa maoni.
 
Wengi wanamcheka na kumkejeli baada ya hivi karibuni kupanda na kushuka kwenye vyeo tofauti.

Mimi naona huyu anakwenda kuwa Waziri Mkuu baada ya jamii kupoteza imani na aliyepo kutokana na kusema uongo na kutoa vijembe msikitini wakati JPJM akiwa katika hali mbaya na hatimaye kuiaga dunia.

Bashiru yuko makini sana na ni mfuatiliaji sana. Mnakumbuka alivyofuatilia mali za chama ambazo watu waligeuza ni mali zao binafsi. Huyu anatufaa. Yale maneno kusema hatapokea cheo kingine ni siasa tu hata hayati JPJM aliwahi kunukuliwa kukana kuutaka urais lakini baadaye akajitosa na kuukwaa.

Msema kweli ni mpenzi wa Mungu. Au nasema uongo ndugu zangu?
Wewe utakuwa bashiru bila Shaka maana hata hujui sifa kuu za mtu anayeweza kuwa PM kwa mjibu wa Katiba. Hivi nikuulize wewe bashiru umechaguliwa kuwakilisha Jimbo gani? Viti maalum siyo jimbo
 
Mtu kaonyesha umbumbu wake yaani hata hajui pm anatakiwa awe mbunge wa namna gani
 
Wengi wanamcheka na kumkejeli baada ya hivi karibuni kupanda na kushuka kwenye vyeo tofauti.

Mimi naona huyu anakwenda kuwa Waziri Mkuu baada ya jamii kupoteza imani na aliyepo kutokana na kusema uongo na kutoa vijembe msikitini wakati JPJM akiwa katika hali mbaya na hatimaye kuiaga dunia.

Bashiru yuko makini sana na ni mfuatiliaji sana. Mnakumbuka alivyofuatilia mali za chama ambazo watu waligeuza ni mali zao binafsi. Huyu anatufaa. Yale maneno kusema hatapokea cheo kingine ni siasa tu hata hayati JPJM aliwahi kunukuliwa kukana kuutaka urais lakini baadaye akajitosa na kuukwaa.

Msema kweli ni mpenzi wa Mungu. Au nasema uongo ndugu zangu?
Kwa hiyo unataka kutwambia mojawapo ya sifa ya waziri Mkuu Tanzania ni uongo? Maana huyu aliyepo ni mwongo na aliwadanganya watanzania mchana kweupe wakati Jiwe akiwa hatunaye yeye akasema anachapa kazi. tena alidanganya akiwa msikitini. Na huyu unayempigia debe aliapa kwamba hatakubali uteuzi mwingine lakini sote ni mashahidi kwamba amekubali teuzi nyingi ikiwemo ya ubunge alionao. Kabla aliteuliwa kuwa balozi na pili kuwa Katibu Mkuu Kiongozi.
 
Wengi wanamcheka na kumkejeli baada ya hivi karibuni kupanda na kushuka kwenye vyeo tofauti.

Mimi naona huyu anakwenda kuwa Waziri Mkuu baada ya jamii kupoteza imani na aliyepo kutokana na kusema uongo na kutoa vijembe msikitini wakati JPJM akiwa katika hali mbaya na hatimaye kuiaga dunia.

Bashiru yuko makini sana na ni mfuatiliaji sana. Mnakumbuka alivyofuatilia mali za chama ambazo watu waligeuza ni mali zao binafsi. Huyu anatufaa. Yale maneno kusema hatapokea cheo kingine ni siasa tu hata hayati JPJM aliwahi kunukuliwa kukana kuutaka urais lakini baadaye akajitosa na kuukwaa.

Msema kweli ni mpenzi wa Mungu. Au nasema uongo ndugu zangu?
Ila ninyi wanaCCM angalau muwe mnahudhuria tuition ili mjue katiba na nchi yetu kwa ujumla. Akili zenu finyu mno! Hamjui kwamba PM sharti awe ni mbunge wa kuchaguliwa?
 
mimi kinacho nishangaza mbona watu wamefurahi sana jamaa kushuka nafasi ....
 
Kuna mambo kadha nayaona kwa Bashiru

Mama kama kamtoa Bashiru kwenye hiyo nafasi kwa sabbu ya kutompenda...basi ataangukia pua...hana lake.


Lakini kama ametolewa kimkakati. ..basi atapewa wizara then kwa baadae atakuja kupewa nafasi kubwa ya kiserikali.

Muda ni Mwalimu.

Maisha yanabadilika
 
Waziri Mkuu huwa mbunge wa kuchaguliwa toka jimboni, si wa kuteuliwa. Subiri aje agombee jimbo litakalokuwa wazi na kuchaguliwa au asubiri uchaguzi mkuu 2025 ndipo utabiri
Wengi wanamcheka na kumkejeli baada ya hivi karibuni kupanda na kushuka kwenye vyeo tofauti.

Mimi naona huyu anakwenda kuwa Waziri Mkuu baada ya jamii kupoteza imani na aliyepo kutokana na kusema uongo na kutoa vijembe msikitini wakati JPJM akiwa katika hali mbaya na hatimaye kuiaga dunia.

Bashiru yuko makini sana na ni mfuatiliaji sana. Mnakumbuka alivyofuatilia mali za chama ambazo watu waligeuza ni mali zao binafsi. Huyu anatufaa. Yale maneno kusema hatapokea cheo kingine ni siasa tu hata hayati JPJM aliwahi kunukuliwa kukana kuutaka urais lakini baadaye akajitosa na kuukwaa.

Msema kweli ni mpenzi wa Mungu. Au nasema uongo ndugu zangu?
 
Wa manyani huko mbuga ya Mwl Nyerere zamani selous
 
Waziri mkuu BILA JIMBO?
Waziri Mkuu hatokani na wabunge wa kuteuliwa
 
Pitia Katiba kwanza ndipo uandike hicho unachofikiria kuandika.PM ni lazima atokane na mbunge wa Jimbo
 
Hahhaha....bashiru anajipigia ngoma ndogo, asijisifie vyeo vya mbeleko bali ajijenge mwenyewe tuweze kutambua uwezo wake.
 
Back
Top Bottom