Mtoto wa Shule
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 19,639
- 14,241
Tanzania ni nchi inayoamini katika Uhuru wa kutoa maoni.Hata hivyo Majaliwa naye hakuchaguliwa na wananchi , alihakikisha wagombea wa vyama vingine wanatekwa ili apite bila kupingwa , baadhi ya waliotekwa waliokotwa Mkuranga .
Nadhani Majaliwa ndio PM wa kwanza duniani aliyeogopa uchaguzi wa kidemocrasia , nadhani hii ni rekodi