Natabiri Bashiru kuwa Waziri Mkuu

Natabiri Bashiru kuwa Waziri Mkuu

Wengi wanamcheka na kumkejeli baada ya hivi karibuni kupanda na kushuka kwenye vyeo tofauti.

Mimi naona huyu anakwenda kuwa Waziri Mkuu baada ya jamii kupoteza imani na aliyepo kutokana na kusema uongo na kutoa vijembe msikitini wakati JPJM akiwa katika hali mbaya na hatimaye kuiaga dunia.

Bashiru yuko makini sana na ni mfuatiliaji sana. Mnakumbuka alivyofuatilia mali za chama ambazo watu waligeuza ni mali zao binafsi. Huyu anatufaa. Yale maneno kusema hatapokea cheo kingine ni siasa tu hata hayati JPJM aliwahi kunukuliwa kukana kuutaka urais lakini baadaye akajitosa na kuukwaa.

Msema kweli ni mpenzi wa Mungu. Au nasema uongo ndugu zangu?
Atakuwa waziri mkuu wa wapi?
Waziri mkuu wa Daruso?

Kwa Bashiru hiyo ndio imekwisha sasa, hakuna tena nafasi ya kuibuka. Kama ni bahati, bahati yake ilishapita. Kwa sasa ajipange kugonga meza za bungeni tu.
 
Haiwezekani wewe Kilaza, Hakidhi vigezo vya katiba, labda kama wataamua kutozingatia katiba kama jiwe katika teuzi zake.
Punguani mkubwa huna akili wewe,haiwezekani haya maisha ni ya baba yako?imewezekana wewe kuzaliwa itashindikanaje kwenye maisha ya watu wengine?
 
WAZIRI MKUU KIKATIBA LAZIME AWE MBUNGE WA KUCHAGULIWA JIMBONI (CONSTITUENCY). NA WALA HATATOKANA NA MBUNGE WA KUTEILIWA.
 
Kama katiba ingekuwa inafuatwa hayati asingekuwa anaamua kutoka kichwani mwake hata wale wabunge 19 wasingekanyaga bungeni. Hayati kavunja katiba na bado akatuendesha kwa miaka 5+
Mkuu uwe unajua katiba inasemaje kuhusu nafasi ya waziri mkuu.
Kwa mujibu wa katiba waziri mkuu atateuliwa kutoka jibu la uchaguzi, na LAZIMA atokane na chama chenye wabunge wengi bungeni.
Hivyo ili Dr Bashiru awe waziri mkuu,ni LAZIMA Kwanza akagombee ubunge kwenye Jimbo la uchaguzi,kiisha chama chake kiwe na idadi ya wabunge wengi,na kubwa kuliko yote ateuliwe na rais kwa nafasi hiyo.
 
Wengi wanamcheka na kumkejeli baada ya hivi karibuni kupanda na kushuka kwenye vyeo tofauti.

Mimi naona huyu anakwenda kuwa Waziri Mkuu baada ya jamii kupoteza imani na aliyepo kutokana na kusema uongo na kutoa vijembe msikitini wakati JPJM akiwa katika hali mbaya na hatimaye kuiaga dunia.

Bashiru yuko makini sana na ni mfuatiliaji sana. Mnakumbuka alivyofuatilia mali za chama ambazo watu waligeuza ni mali zao binafsi. Huyu anatufaa. Yale maneno kusema hatapokea cheo kingine ni siasa tu hata hayati JPJM aliwahi kunukuliwa kukana kuutaka urais lakini baadaye akajitosa na kuukwaa.

Msema kweli ni mpenzi wa Mungu. Au nasema uongo ndugu zangu?
Waziri mkuu anapatikana miongoni mwa wabunge waliochaguliwa kutoka majimboni. Japo wanaombeza naona kama akili zao ni ndogo. Kwangu mimi inawezekana kabisa Bashiru kwa misimamo yake ninavyomjua anaweza kjwa aliresign mwenyewe na si kufukuzwa ma mtu.

Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
 
Endelea kutabiri ujinga.
Kuna siku utatabiri umetangulia.......
 
Ngoja tusubiri Jumanne mkuu kama mama alivyoahidi'',In Africa Wonders Shall Never End!''
 
Wengi wanamcheka na kumkejeli baada ya hivi karibuni kupanda na kushuka kwenye vyeo tofauti.

Mimi naona huyu anakwenda kuwa Waziri Mkuu baada ya jamii kupoteza imani na aliyepo kutokana na kusema uongo na kutoa vijembe msikitini wakati JPJM akiwa katika hali mbaya na hatimaye kuiaga dunia.

Bashiru yuko makini sana na ni mfuatiliaji sana. Mnakumbuka alivyofuatilia mali za chama ambazo watu waligeuza ni mali zao binafsi. Huyu anatufaa. Yale maneno kusema hatapokea cheo kingine ni siasa tu hata hayati JPJM aliwahi kunukuliwa kukana kuutaka urais lakini baadaye akajitosa na kuukwaa.

Msema kweli ni mpenzi wa Mungu. Au nasema uongo ndugu zangu?
Waziri mkuu wa nchi ngan mkuu?
 
Wengi wanamcheka na kumkejeli baada ya hivi karibuni kupanda na kushuka kwenye vyeo tofauti.

Mimi naona huyu anakwenda kuwa Waziri Mkuu baada ya jamii kupoteza imani na aliyepo kutokana na kusema uongo na kutoa vijembe msikitini wakati JPJM akiwa katika hali mbaya na hatimaye kuiaga dunia.

Bashiru yuko makini sana na ni mfuatiliaji sana. Mnakumbuka alivyofuatilia mali za chama ambazo watu waligeuza ni mali zao binafsi. Huyu anatufaa. Yale maneno kusema hatapokea cheo kingine ni siasa tu hata hayati JPJM aliwahi kunukuliwa kukana kuutaka urais lakini baadaye akajitosa na kuukwaa.

Msema kweli ni mpenzi wa Mungu. Au nasema uongo ndugu zangu?
Mkuu waziri mkuu lazima awe mbunge wa jimbo
 
Back
Top Bottom