Freed Freed
JF-Expert Member
- Jun 27, 2017
- 6,704
- 7,409
Nyota yake kali mno. Atafika mbali Sana. Hata Vita apigwavyo vinaashiria Kuna kitu mbele.Ilo haliwezekani, ila Bashiru atakuwa politician mwenye nguvu sana ndani ya CCM.
Nyota yake kali mno. Atafika mbali Sana. Hata Vita apigwavyo vinaashiria Kuna kitu mbele.Ilo haliwezekani, ila Bashiru atakuwa politician mwenye nguvu sana ndani ya CCM.
Ndiyo maana akapata ujasiri wa kukwapua mzigo kule BOT?Nyota yake kali mno. Atafika mbali Sana. Hata Vita apigwavyo vinaashiria Kuna kitu mbele.
Huyo bashiru hana jimboNi mbunge wa Jimbo gani huyo Bashiru? Mbunh
Waziri mkuu? Bashiru yupi? Huyu huyu Kakurwa? MUNGU ampe mama Samia maisha marefu, Hii ndiyo dawa ya mnafiki haiwezekani mtu anatangaza public kabisa kuwa hatokubali uteuzi wa position nyingine yoyote serikalini alafu anapewa Cs. Mimi naona hata huu ubunge wa kuteuliwa bado ni kukiuka tamko lake atafutiwe taarafa iliyopo wazi apewe angalau ukatibu hapo at least.
dhumari ndio nini😎😎Bora ww mpiga dhumari ukamuelekeza
Hawezi kuwa waziri mkuu. Waziri mkuu lazima atokane na wabunge wa kuchaguliwa na wananchi majimboni.Huyo bashiru hana jimbo
Umeshapata majibu kuhusu sifa za waziri mkuu.Jimbo huru
Matagadhumari ndio nini😎😎
Bashiru ni mbunge wa jimbo gani hadi awe waziri mkuu?Wengi wanamcheka na kumkejeli baada ya hivi karibuni kupanda na kushuka kwenye vyeo tofauti.
Mimi naona huyu anakwenda kuwa Waziri Mkuu baada ya jamii kupoteza imani na aliyepo kutokana na kusema uongo na kutoa vijembe msikitini wakati JPJM akiwa katika hali mbaya na hatimaye kuiaga dunia.
Bashiru yuko makini sana na ni mfuatiliaji sana. Mnakumbuka alivyofuatilia mali za chama ambazo watu waligeuza ni mali zao binafsi. Huyu anatufaa. Yale maneno kusema hatapokea cheo kingine ni siasa tu hata hayati JPJM aliwahi kunukuliwa kukana kuutaka urais lakini baadaye akajitosa na kuukwaa.
Msema kweli ni mpenzi wa Mungu. Au nasema uongo ndugu zangu?