Natabiri Bashiru kuwa Waziri Mkuu

Natabiri Bashiru kuwa Waziri Mkuu

Ndo huyu huyu mnaomsema aliiba pese za matibabu ya magufuli, au ni mwingine!
 
Waziri mkuu? Bashiru yupi? Huyu huyu Kakurwa? MUNGU ampe mama Samia maisha marefu, Hii ndiyo dawa ya mnafiki haiwezekani mtu anatangaza public kabisa kuwa hatokubali uteuzi wa position nyingine yoyote serikalini alafu anapewa Cs. Mimi naona hata huu ubunge wa kuteuliwa bado ni kukiuka tamko lake atafutiwe taarafa iliyopo wazi apewe angalau ukatibu hapo at least.
 
Kasome katiba, waziri mkuu lazima awe mbunge kutokana na jimbo sasa huyo Bashiru ni mbunge wa Jimbo gani?
 
Kwann wanasiasa wa bongo wanafiki sana!! Alisema hatokubali uteuzi wowote baada ya ukatibu mkuu ccm Leo anateuliwa teuliwa mara huku mara kule na hakatai duh kweli cheo ulevi!

Uwaziri mkuu hauwezi namaujamaa yake atatulaza njaa.
 
Tuko pamoja?

IMG_20210403_103304~2.jpg
 
Wengi wanamcheka na kumkejeli baada ya hivi karibuni kupanda na kushuka kwenye vyeo tofauti.

Mimi naona huyu anakwenda kuwa Waziri Mkuu baada ya jamii kupoteza imani na aliyepo kutokana na kusema uongo na kutoa vijembe msikitini wakati JPJM akiwa katika hali mbaya na hatimaye kuiaga dunia.

Bashiru yuko makini sana na ni mfuatiliaji sana. Mnakumbuka alivyofuatilia mali za chama ambazo watu waligeuza ni mali zao binafsi. Huyu anatufaa. Yale maneno kusema hatapokea cheo kingine ni siasa tu hata hayati JPJM aliwahi kunukuliwa kukana kuutaka urais lakini baadaye akajitosa na kuukwaa.

Msema kweli ni mpenzi wa Mungu. Au nasema uongo ndugu zangu?
Bashiru ni mbunge wa jimbo gani hadi awe waziri mkuu?
 
Labda waziri mkuu wa Lumumba 😂😂😂
 
Back
Top Bottom