Superpower
JF-Expert Member
- Oct 11, 2018
- 826
- 912
Ni hivi jamani mimi ni kijana wa miaka 24 naomba ushauri wa kimahusiano. Mimi mwenzenu nimekuwa mgumu mno wakuwa na mahusiano kwa sababu mbalimbali ambazo mimi nazisimamia akini napata tabu sana kuishi hivihivi na nyemelewa sana na punyeto.
Japo nimeona kuna tija ya kuwa-single lakini sasa nikavile naona haiwezekani kutokana na taama za mwili. Na kama ningekuwa na uchumi mzuri kidogo ningeoa lakini sina na tamaa zina ninyemelea nifanyaje?
Naomba ushauri nifanyaje jamani hii dunia ngumu sana, kuishi kuna muda unaona moto lakini unalazimisha hivyohivyo motoni
Japo nimeona kuna tija ya kuwa-single lakini sasa nikavile naona haiwezekani kutokana na taama za mwili. Na kama ningekuwa na uchumi mzuri kidogo ningeoa lakini sina na tamaa zina ninyemelea nifanyaje?
- Nachohofia sana kwenye mahusiano ya mdaa mrefu ni
- Magonjwa
- Kutoa hela nakutofanya mipango
- Kusingiziwa mimba
- Kugombana na watu
- Mimba sizotarajiwa
- Mawazo yasio na tija
Naomba ushauri nifanyaje jamani hii dunia ngumu sana, kuishi kuna muda unaona moto lakini unalazimisha hivyohivyo motoni