Nasumbuliwa na tabia ya kukasirika haraka, nifanye nini?

Una uchungu, kutokana na kuumizwa. Maumivu aliyokubebesha mwanaume mmoja, unatamani uyahamishie kwa wanaume wote. Hujasamehe, bali umeamua kumbeba huyo mwanaume moyoni. Na uchungu mara nyingi unakuumiza wewe mwenyewe uliyeubeba zaidi, kuliko hata aliyekusababishia.

Imagine unamkaripia hadi boss wako mwisho wa siku unataka hata kuharibu kazi yako + ni mahusiano mangapi na ndugu, jamaa au rafiki wa kiume utakuwa umeshayaharibu kwa sababu ya hasira zako? Msamehe huyo ex wako hata kama hajakuomba msamaha, as a matter of fact anaweza asije hata kukuomba huo msamaha. Unaposamehe hufanyi kwa ajili yake; unafanya kwa ajili yako, kwa amani yako ya moyo na ili hata na wewe unapokosea, Mungu apate kukusamehe pia. Msamehe tu huyo kijana
 
Yeah rite like you really meant it!Some people come here with real issues but some advice can mess them up more.This is serious!I cannot even imagine how this person feels right now!You have to be banging someone to get cured from a mental disorder... Wow
I mean Psycotherapist!
 
Imekua almost a few month now tangu niwe katika Hali hii back to my point I have been through hell in relationship so sijui ndo hii Hali nayojiskia ndo imetokana na hivyo I don't know....
Anza kuishi maisha ya sala na maombi, mweleze mungu shida yako naye atakusaidia pia amua kubadili mfumo wa maisha unayoishi na mtafute Mungu kwa bidii utaona mabadiliko
 
Dahh wakuu hizi comments za humu Leo ni balaa yani,Niko huku ushirombo navuna mpunga,kna moja ya Evelyn salt ni balaa nimejilaza hapa kwenye jaruba yani mnara unasoma 5G.

Niombeeni tu tu ile roho ya CHAPUTA,inipitie mbali.
.
 
Imekua almost a few month now tangu niwe katika Hali hii back to my point I have been through hell in relationship so sijui ndo hii Hali nayojiskia ndo imetokana na hivyo I don't know....

Nimekuwa ni mtu ambae sina hisia kabisa nmekuwa mkali Sana niliepitiliza nmekuwa a fast panic person yani sitaki kuongeleshwa na Kaka wa aina yoyote ( mwanaume yyote ) ambae anakuja kwa habar za mahusiano Yan sometimes hata mwanaume akiwa anaanzisha maongez na Mimi I sometimes najikuta namsikiliza Afu nisimjibu Yan au naweza kuta nmemfokea tu from no where.

Muda mwingine nimekua hata nkimuona mwanaume anaonesha Hali ya kuniangalia sana najikuta namgombeza like it's a big deal napaniki tuuuh mda wote yan dah mpaka nmeanza kujichukia sasa na hiz Tabia sometimes I try kurudi katika Hali yangu ya zaman then najikuta tu hii Hali inajirudia.

Tena juzi was even worse nilijikuta namjibu boss wangu aliniuliza juu ya Jambo la kazi " we Ni ndo wale wale tu mbwa usinibabaishe ikasababisha mzozo mkubwa sanaa mpk Sasa Mambo hayapo sawa ofisin kwangu najichukia with this condition=, I want my self back I want me.

Nifanye nini !?

Hayo ni mabadiliko ya kawaida kwa binadamu hasa kipindi cha kuanzia June -Augost.
Hopefully by September hali hiyo itatoweka.
 
Imekua almost a few month now tangu niwe katika Hali hii back to my point I have been through hell in relationship so sijui ndo hii Hali nayojiskia ndo imetokana na hivyo I don't know....

Nimekuwa ni mtu ambae sina hisia kabisa nmekuwa mkali Sana niliepitiliza nmekuwa a fast panic person yani sitaki kuongeleshwa na Kaka wa aina yoyote ( mwanaume yyote ) ambae anakuja kwa habar za mahusiano Yan sometimes hata mwanaume akiwa anaanzisha maongez na Mimi I sometimes najikuta namsikiliza Afu nisimjibu Yan au naweza kuta nmemfokea tu from no where.

Muda mwingine nimekua hata nkimuona mwanaume anaonesha Hali ya kuniangalia sana najikuta namgombeza like it's a big deal napaniki tuuuh mda wote yan dah mpaka nmeanza kujichukia sasa na hiz Tabia sometimes I try kurudi katika Hali yangu ya zaman then najikuta tu hii Hali inajirudia.

Tena juzi was even worse nilijikuta namjibu boss wangu aliniuliza juu ya Jambo la kazi " we Ni ndo wale wale tu mbwa usinibabaishe ikasababisha mzozo mkubwa sanaa mpk Sasa Mambo hayapo sawa ofisin kwangu najichukia with this condition=, I want my self back I want me.

Nifanye nini !?

Hata mimi sijui nifanyaje??
 
Karambezi all the time honey!!

Pale unapiga na kupigwa kiwi all at once...😉😉

On ma we der.....

Sipping Amarula darling 😋

Thank you and 🥂😘.

Bet it iwe kiwi cha macho looh...😅😅😅.
 
Imekua almost a few month now tangu niwe katika Hali hii back to my point I have been through hell in relationship so sijui ndo hii Hali nayojiskia ndo imetokana na hivyo I don't know....

Nimekuwa ni mtu ambae sina hisia kabisa nmekuwa mkali Sana niliepitiliza nmekuwa a fast panic person yani sitaki kuongeleshwa na Kaka wa aina yoyote ( mwanaume yyote ) ambae anakuja kwa habar za mahusiano Yan sometimes hata mwanaume akiwa anaanzisha maongez na Mimi I sometimes najikuta namsikiliza Afu nisimjibu Yan au naweza kuta nmemfokea tu from no where.

Muda mwingine nimekua hata nkimuona mwanaume anaonesha Hali ya kuniangalia sana najikuta namgombeza like it's a big deal napaniki tuuuh mda wote yan dah mpaka nmeanza kujichukia sasa na hiz Tabia sometimes I try kurudi katika Hali yangu ya zaman then najikuta tu hii Hali inajirudia.

Tena juzi was even worse nilijikuta namjibu boss wangu aliniuliza juu ya Jambo la kazi " we Ni ndo wale wale tu mbwa usinibabaishe ikasababisha mzozo mkubwa sanaa mpk Sasa Mambo hayapo sawa ofisin kwangu najichukia with this condition=, I want my self back I want me.

Nifanye nini !?

UNA MAREJESHO YA PESA NGAPI NA WATOTO WANGAPI...
 
You need love,from psychological view, unamiss upendo kutoka kwa mtu wako wa muhimu sana either mpenzi au family, halafu you are stressed with a certain situation

Talk to someone you trust about your situation and whatever you are facing, halafu stop spending time alone, jichanganye hata kama ni ofisini try to put up a good mood, zungumza na watu,usitumie muda mwingi kuwaza hali unayopitia bali tumia muda mwingi kufanya mambo mengine na ku socialize na watu
Tafuta namna bora ya kusort out hali unayopitia kwenye mahusiano yako ikiwezekana give each other a space to rethink of the relationship na kuna kama kuna haja ya kuendelea au la
Mkuu, umemshauri vizuri lakini ndo hana uwezo wa kujichanganya hasa na watu wa jinsia tofati, au hata hao watu atakao taka kujichanganya nao wao wanajichanganya na wanaume, so bado atakua bado hayuko comfortable.

Kwa upande mwingine suala la muhimu ni kumtafuta mtu amuaminie aongee nae yote ili ayatoe moyoni.

Mengine, omba sana kwa Mungu, fanya mazoezi, jihusishe na michezo na ikiwezekana jaribu soma vitabu.

Itakusaidia.
 
Acha kutumia bange,..au pombe Kali...utakuja kunishukuru..na Kama hutumii hivyo Basi inawezakana Kuna Jambo..
 
Back
Top Bottom