cariha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 22,077
- 46,325
Sio week miakaWe ushawahai kumaliza hata wiki??
Sio week miakaWe ushawahai kumaliza hata wiki??
I mean Psycotherapist!Yeah rite like you really meant it!Some people come here with real issues but some advice can mess them up more.This is serious!I cannot even imagine how this person feels right now!You have to be banging someone to get cured from a mental disorder... Wow
Nenda kwa Chris mauki mzee wa kuwashauri totoz kisaikolojiaImekua almost a few month now tangu niwe katika Hali hii back to my point I have been through hell in relationship so sijui ndo
Pia inaonekana hujawahi kufikishwa kileleni unapasikiaga tu kwa ma tour guide bobeziImekua almost a few month now tangu niwe katika Hali hii back to my point I have been through hell in relationship so sijui ndo hii Hali nayojiskia ndo imetokana na hivyo I don't know....
Kuna ndugu yangu alikuaga hivo age imeenda no mme no mtoto alikua mkali jamani anafoka vitu hata havina ishu....kafika 42 kaolewa kazaa ukali wote kwisha.Wakali kichizi yani stress mbaya sana
Anza kuishi maisha ya sala na maombi, mweleze mungu shida yako naye atakusaidia pia amua kubadili mfumo wa maisha unayoishi na mtafute Mungu kwa bidii utaona mabadilikoImekua almost a few month now tangu niwe katika Hali hii back to my point I have been through hell in relationship so sijui ndo hii Hali nayojiskia ndo imetokana na hivyo I don't know....
😂😂😂Umemchoma na kitu chenye ncha kali
Hayo ni mabadiliko ya kawaida kwa binadamu hasa kipindi cha kuanzia June -Augost.Imekua almost a few month now tangu niwe katika Hali hii back to my point I have been through hell in relationship so sijui ndo hii Hali nayojiskia ndo imetokana na hivyo I don't know....
Nimekuwa ni mtu ambae sina hisia kabisa nmekuwa mkali Sana niliepitiliza nmekuwa a fast panic person yani sitaki kuongeleshwa na Kaka wa aina yoyote ( mwanaume yyote ) ambae anakuja kwa habar za mahusiano Yan sometimes hata mwanaume akiwa anaanzisha maongez na Mimi I sometimes najikuta namsikiliza Afu nisimjibu Yan au naweza kuta nmemfokea tu from no where.
Muda mwingine nimekua hata nkimuona mwanaume anaonesha Hali ya kuniangalia sana najikuta namgombeza like it's a big deal napaniki tuuuh mda wote yan dah mpaka nmeanza kujichukia sasa na hiz Tabia sometimes I try kurudi katika Hali yangu ya zaman then najikuta tu hii Hali inajirudia.
Tena juzi was even worse nilijikuta namjibu boss wangu aliniuliza juu ya Jambo la kazi " we Ni ndo wale wale tu mbwa usinibabaishe ikasababisha mzozo mkubwa sanaa mpk Sasa Mambo hayapo sawa ofisin kwangu najichukia with this condition=, I want my self back I want me.
Nifanye nini !?
Kama yuko nje ya Tanzania ndio akutafute.Yaani chief kwa Dar unajipigia promo sio?
Mwambie na mimi nipo Mkoa wowote alipo nitakwenda!
Hata mimi sijui nifanyaje??Imekua almost a few month now tangu niwe katika Hali hii back to my point I have been through hell in relationship so sijui ndo hii Hali nayojiskia ndo imetokana na hivyo I don't know....
Nimekuwa ni mtu ambae sina hisia kabisa nmekuwa mkali Sana niliepitiliza nmekuwa a fast panic person yani sitaki kuongeleshwa na Kaka wa aina yoyote ( mwanaume yyote ) ambae anakuja kwa habar za mahusiano Yan sometimes hata mwanaume akiwa anaanzisha maongez na Mimi I sometimes najikuta namsikiliza Afu nisimjibu Yan au naweza kuta nmemfokea tu from no where.
Muda mwingine nimekua hata nkimuona mwanaume anaonesha Hali ya kuniangalia sana najikuta namgombeza like it's a big deal napaniki tuuuh mda wote yan dah mpaka nmeanza kujichukia sasa na hiz Tabia sometimes I try kurudi katika Hali yangu ya zaman then najikuta tu hii Hali inajirudia.
Tena juzi was even worse nilijikuta namjibu boss wangu aliniuliza juu ya Jambo la kazi " we Ni ndo wale wale tu mbwa usinibabaishe ikasababisha mzozo mkubwa sanaa mpk Sasa Mambo hayapo sawa ofisin kwangu najichukia with this condition=, I want my self back I want me.
Nifanye nini !?
Karambezi all the time honey!!
Pale unapiga na kupigwa kiwi all at once...😉😉
Heheh...Nenda kwa Chris mauki mzee wa kuwashauri totoz kisaikolojia
Aseme alipo mi nafikisha huduma hadi nje ya TanzaniaKama yuko nje ya Tanzania ndio akutafute.
UNA MAREJESHO YA PESA NGAPI NA WATOTO WANGAPI...Imekua almost a few month now tangu niwe katika Hali hii back to my point I have been through hell in relationship so sijui ndo hii Hali nayojiskia ndo imetokana na hivyo I don't know....
Nimekuwa ni mtu ambae sina hisia kabisa nmekuwa mkali Sana niliepitiliza nmekuwa a fast panic person yani sitaki kuongeleshwa na Kaka wa aina yoyote ( mwanaume yyote ) ambae anakuja kwa habar za mahusiano Yan sometimes hata mwanaume akiwa anaanzisha maongez na Mimi I sometimes najikuta namsikiliza Afu nisimjibu Yan au naweza kuta nmemfokea tu from no where.
Muda mwingine nimekua hata nkimuona mwanaume anaonesha Hali ya kuniangalia sana najikuta namgombeza like it's a big deal napaniki tuuuh mda wote yan dah mpaka nmeanza kujichukia sasa na hiz Tabia sometimes I try kurudi katika Hali yangu ya zaman then najikuta tu hii Hali inajirudia.
Tena juzi was even worse nilijikuta namjibu boss wangu aliniuliza juu ya Jambo la kazi " we Ni ndo wale wale tu mbwa usinibabaishe ikasababisha mzozo mkubwa sanaa mpk Sasa Mambo hayapo sawa ofisin kwangu najichukia with this condition=, I want my self back I want me.
Nifanye nini !?
Mkuu, umemshauri vizuri lakini ndo hana uwezo wa kujichanganya hasa na watu wa jinsia tofati, au hata hao watu atakao taka kujichanganya nao wao wanajichanganya na wanaume, so bado atakua bado hayuko comfortable.You need love,from psychological view, unamiss upendo kutoka kwa mtu wako wa muhimu sana either mpenzi au family, halafu you are stressed with a certain situation
Talk to someone you trust about your situation and whatever you are facing, halafu stop spending time alone, jichanganye hata kama ni ofisini try to put up a good mood, zungumza na watu,usitumie muda mwingi kuwaza hali unayopitia bali tumia muda mwingi kufanya mambo mengine na ku socialize na watu
Tafuta namna bora ya kusort out hali unayopitia kwenye mahusiano yako ikiwezekana give each other a space to rethink of the relationship na kuna kama kuna haja ya kuendelea au la