Abrianna
JF-Expert Member
- Mar 30, 2021
- 4,697
- 15,375
Huyo mtu anahitaji upendo, love will heal everything, ni kama vile anahisi dunia nzima inamchukia na amekosa kujiamini kabisaMkuu, umemshauri vizuri lakini ndo hana uwezo wa kujichanganya hasa na watu wa jinsia tofati, au hata hao watu atakao taka kujichanganya nao wao wanajichanganya na wanaume, so bado atakua bado hayuko comfortable.
Kwa upande mwingine suala la muhimu ni kumtafuta mtu amuaminie aongee nae yote ili ayatoe moyoni.
Mengine, omba sana kwa Mungu, fanya mazoezi, jihusishe na michezo na ikiwezekana jaribu soma vitabu.
Itakusaidia.