"Nasubiri kwa hamu maandamano ya CHADEMA Moshi"!

"Nasubiri kwa hamu maandamano ya CHADEMA Moshi"!

Status
Not open for further replies.

Nape Nnauye

MP Mtama
Joined
Dec 26, 2012
Posts
99
Reaction score
408
Nimekutana na kijana asub leo wakati natoka mazoezini akaniuliza;

"Kaka Nape mambo vipi? Mie mshabiki kufa wa Chadema lakini sijapata mtu wa kunijibu kwanini Chadema kila wakipanga maandamano wanapanga, Dar,Mwanza, Arusha na nimesikia wanakwenda Mbeya tar. 10. Kwanini hawapangi maandamano anakotoka muasisi wa Chadema Mzee Mtei?!!!"

Nikainama chini nikamuuliza uchaguzi ndani ya chama chenu lini?! Akastuka kidogo, akanambia hivi unatakiwa kuwa mwaka huu kweli!?!! "Mhhh hilo nalo swali! Lakini hivi tukifanya uchaguzi Chama chetu kitapona kweli?! Nadhani bora tusifanya uchaguzi mpaka tutakapokamata dola"! Alisisitiza kijana.

Nikamjibu "BWANA YESU KRISTO ASIFIWE"!
 
1:Usijaribu kututoa kwenye mjadala wa Katiba.Maandalizi ya Maandamano ya Upinzani Tarehe 10.10.2013 yanaendelea

Mswada unarudishwa bungeni.

Hii mbinu unayotumia ya propaganda ilishapitwa na wakati.Kuna mbinu mpya

Msome sana Karl Rove!

2:Uchaguzi ndani ya CHADEMA ni suala la kikatiba na halikuhusu.Uchaguzi ulifanyika 2009,miaka 5 inaisha mwaka 2014 kikatiba

3:Maandamano ya Nchi nzima 10.10.2013 yatajumuisha Mji wa Moshi.Kwahiyo jibu sahihi kwa kijana huyo ungemjibu kuwa yatafanyika Moshi tarehe 10.10.2013.
Pia CCM ndio Chama cha Upinzani Moshi kwa hiyo ungemjibu ni lini chama chako kitafanya maandamano.Acha kudanganya vijana huko mtaani.Waambie ukweli.

Good news kama umetambua umuhimu wa mazoezi leo.

NB:Mambo ya ndani ya CHADEMA hayakuhusu

.....Mnafiki,Mzandiki, muongo na Mfitini.....
 
Hadithi yako inafundisha nini? Mbona haina msisimko kama za Shigongo ?

"Kichwa sio cha kufugia nywele" - Werema
 
Usijaribu kututoa kwenye mjadala wa Katiba.Maandalizi ya Maandamani ya Upinzani Tarehe 10.10.2013 yanaendelea

Mswada unarudishwa bungeni.

Hii mbinu unayotumia ya propaganda ilishapitwa na wakati.Kuna mbinu mpya

Msome sana Carl Rove!
Ukitoka kwenye mjadala wa katiba itakuwa ni kwaajili ya akili ndogo tu sio kwa hoja hii! Kila lakheri wote mnaoamini sheria inabadilishwa au kurekebishwa barabarani. Karibuni bungeni ambapo watanzania waliamua 74% wawe wabunge wa CCM!
 
1:Usijaribu kututoa kwenye mjadala wa Katiba.Maandalizi ya Maandamano ya Upinzani Tarehe 10.10.2013 yanaendelea

Mswada unarudishwa bungeni.

Hii mbinu unayotumia ya propaganda ilishapitwa na wakati.Kuna mbinu mpya

Msome sana Carl Rove!

2:Uchaguzi ndani ya CHADEMA ni suala la kikatiba na halikuhusu.Uchaguzi ulifanyika 2009,miaka 5 inaisha mwaka 2014 kikatiba

3:Maandamano ya Nchi nzima 10.10.2013 yatajumuisha Mji wa Moshi.Kwahiyo jibu sahihi kwa kijana huyo ungemjibu kuwa yatafanyika Moshi tarehe 10.10.2013.

NB:Mambo ya ndani ya CHADEMA hayakuhusu

.....Mnafiki,Mzandiki, muongo na Mfitini.....

hata aibu huna fanya tu yale mambo yako ya ..........................
 
moshi kunamigomba mingi yakifanyika mandamano itaharibiwa ndiyo tegemeo huko kwingine poa tu.
 
Mzee Mtei ni mkazi wa Arusha.
Get the facts before you distort the facts!
Wewe ni katibu mwenezi ..sitegemei kuona maandiko ya kilevi namna hii kutoka kwako.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!

Yuko Tengeru pale miaka kibao... Nape asikwepe aibu ya kufeli kuhujumu taiga kwenye ishu ya Katiba.. Kama wanataka kuona maandamano wayaache wasizuie... Tz inamikoa karibu 30 àmetaja 4 hiyo mingine VP au kichwa Nazi tu?
 
Huyo si mshabiki wa chadema...mshabiki wa chadema akuulize wewe mambo yanayohusiana na chama chake? Haiingii akilini kaka...I don't buy your story...
 
Mzee Mtei ni mkazi wa Arusha.
Get the facts before you distort the facts!
Wewe ni katibu mwenezi ..sitegemei kuona maandiko ya kilevi namna hii kutoka kwako.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!

Aaaaggghhhhhrrrrr!

YOU NAIL IT!
 
1:Usijaribu kututoa kwenye mjadala wa Katiba.Maandalizi ya Maandamano ya Upinzani Tarehe 10.10.2013 yanaendelea

Mswada unarudishwa bungeni.

Hii mbinu unayotumia ya propaganda ilishapitwa na wakati.Kuna mbinu mpya

Msome sana Carl Rove!

2:Uchaguzi ndani ya CHADEMA ni suala la kikatiba na halikuhusu.Uchaguzi ulifanyika 2009,miaka 5 inaisha mwaka 2014 kikatiba

3:Maandamano ya Nchi nzima 10.10.2013 yatajumuisha Mji wa Moshi.Kwahiyo jibu sahihi kwa kijana huyo ungemjibu kuwa yatafanyika Moshi tarehe 10.10.2013.

NB:Mambo ya ndani ya CHADEMA hayakuhusu

.....Mnafiki,Mzandiki, muongo na Mfitini.....

Matusi, kejeli na maneno ya kitoto kama yako ni dalili za mwisho za kuoshiwa hoja! Kwaheri kwasababu ujumbe umefuka vizuri sana!
 
Mzee Mtei ni mkazi wa Arusha.
Get the facts before you distort the facts!
Wewe ni katibu mwenezi ..sitegemei kuona maandiko ya kilevi namna hii kutoka kwako.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!

babu na bibi na baadhi ya dada na shangazi wa mtei wapo wapi hata vitaga uchumi vingi vya mtei vipo wapi hili liko wazi kuwa ni moshi.
 
Nimekutana na kijana asub leo wakati natoka mazoezini akaniuliza;
"Kaka Nape mambo vipi? Mie mshabiki kufa wa Chadema lakini sijapata mtu wa kunijibu kwanini Chadema kila wakipanga maandamano wanapanga, Dar,Mwanza, Arusha na nimesikia wanakwenda Mbeya tar. 10. Kwanini hawapangi maandamano anakotoka muasisi wa Chadema Mzee Mtei?!!!"
Nikainama chini nikamuuliza uchaguzi ndani ya chama chenu lini?! Akastuka kidogo, akanambia hivi unatakiwa kuwa mwaka huu kweli!?!! "Mhhh hilo nalo swali! Lakini hivi tukifanya uchaguzi Chama chetu kitapona kweli?! Nadhani bora tusifanya uchaguzi mpaka tutakapokamata dola"! Alisisitiza kijana.
Nikamjibu "BWANA YESU KRISTO ASIFIWE"!
Mnahangaika kutafuta wadini,mwingine huyu asiemjua babaake..
 
Inaonekana bwana mdogo umeacha ibada eeh! Jumapili sa miaka hii sio kama a wakati uleeeee ulipokua waitwa Nape.
 
Ukitoka kwenye mjadala wa katiba itakuwa ni kwaajili ya akili ndogo tu sio kwa hoja hii! Kila lakheri wote mnaoamini sheria inabadilishwa au kurekebishwa barabarani. Karibuni bungeni ambapo watanzania waliamua 74% wawe wabunge wa CCM!

-Akili ndogo ni ya kwako.Una akili gani kubwa ya kujadili suala lolote la kitaifa wewe ikiwa hata kozi yako shuleni hujawahi kuwa na uwezo wa kujifanyia assignment?

Katiba kupatikana Barabarani inawezekana.Hata Kenya,Afrika Kusini,Nigeria na Ghana zilipatikana Barabarani.Uwe unafanya tafiti kabla ya kuandika.
 
Mzee Mtei ni mkazi wa Arusha.
Get the facts before you distort the facts!
Wewe ni katibu mwenezi ..sitegemei kuona maandiko ya kilevi namna hii kutoka kwako.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!


Mkuu, umejibu bila kumsoma Nape kiundani, na hivyo umejitega. Sentesi ya Nape inasema ".....anakotoka Mzee Mtei". Sio Anakokaa au kuishi. Kama sikosei nadhani mzee Mtei ANATOKA Mkoa wa Kilimanjaro - hukoooo Moshi alipolenga mwenzio.
 
Nimekutana na kijana asub leo wakati natoka mazoezini akaniuliza;
"Kaka Nape mambo vipi? Mie mshabiki kufa wa Chadema lakini sijapata mtu wa kunijibu kwanini Chadema kila wakipanga maandamano wanapanga, Dar,Mwanza, Arusha na nimesikia wanakwenda Mbeya tar. 10. Kwanini hawapangi maandamano anakotoka muasisi wa Chadema Mzee Mtei?!!!"
Nikainama chini nikamuuliza uchaguzi ndani ya chama chenu lini?!

Bosi mimi sijaelewa vizuri
kichwa cha habari "Nasubiri kwa hamu maandamano ya Chadema Moshi"!
Habari yenyewe, mikutano ya chadema na uchaguzi wa chama. !!!

unasubiri kwa hamu maandamano ya chadema kwa maana na sababu zipi!!!! ??? yanakuhusu husu vipi!!! ??? au umepanga kufanya nini kwenye maandamano hayo.

Tafadhali! kunawajomba zetu wapo huko bwana....... tukisikia, Oooo chadema wamejilipua kwa bomu...... Oooo katekwa kakatwa miguu! Sisi tunaanza na wewe halafu yule mwenye kibaraghashia cha fidelcastro atafata.
 
Nimekutana na kijana asub leo wakati natoka mazoezini akaniuliza;
"Kaka Nape mambo vipi? Mie mshabiki kufa wa Chadema lakini sijapata mtu wa kunijibu kwanini Chadema kila wakipanga maandamano wanapanga, Dar,Mwanza, Arusha na nimesikia wanakwenda Mbeya tar. 10. Kwanini hawapangi maandamano anakotoka muasisi wa Chadema Mzee Mtei?!!!"
Nikainama chini nikamuuliza uchaguzi ndani ya chama chenu lini?! Akastuka kidogo, akanambia hivi unatakiwa kuwa mwaka huu kweli!?!! "Mhhh hilo nalo swali! Lakini hivi tukifanya uchaguzi Chama chetu kitapona kweli?! Nadhani bora tusifanya uchaguzi mpaka tutakapokamata dola"! Alisisitiza kijana.
Nikamjibu "BWANA YESU KRISTO ASIFIWE"!
Siasa za ubaguzi zitakusaidia nini?wewe dini gani?maana baba alikua muislam.Umewahi kwenda kijijini kwa baba yako?wewe ni wa singida au ruvuma!UKIJIBU MASWALI HAYA UTAJUA KUA HUNA SABABU YA KUENDEKEZA UBAGUZI
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom