data
JF-Expert Member
- Apr 9, 2011
- 26,151
- 22,726
Mkuu mimi nilikuwa mwalimu shule flani town kuna kadenti kamoja kazuri balaa kwa kweli nilikapenda lakini kumoyo tu maana maadili yalinikataza siku moja from no where wakati nasahihisha madaftari kwenye daftari lake aliandika kwa hati kubwa teacher A I love you soo much nilivyomwita na kumuuliza alikiri bila ya soni kuwa ni kweli ananipenda tena sana, baada ya wiki niliacha kazi
hahahahahahaaaaaaa..!! Dah..